wazembe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    Simba SC kwanini mnazubaa na kuwa wazembe hivi?

    Inasemekana yafuatayo yanaweza kutokea japo hayana uhakika wa 50%, 75% au 100% kabisa kuwa; ~ Mshambuliaji Ceaser Lobi Manzoki kutua Yanga SC na tayari Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said anamalizana naye. ~ Beki Henock Inonga kwenda Amazulu FC ya Afrika Kusini au kutua Yanga SC. ~ Clatous...
  2. MakinikiA

    Kiongozi ambaye anacheka na wazembe hafai hata kidogo

    Leo nilifikiri kwamba nikifungua koki ya bomba nitaona maji kumbe wanazindua mashimo kazi kwelikweli.
  3. happyxxx

    Idara ya Ikulu Mawasiliano ni wazembe au wanafanya makusudi?

    Kitendo cha kuachia picha inayoonyesha namna wananchi wasivyosisimka na uwepo wa Mh. Rais Samia kwenye usafiri wa boti ya abiria kinatafakarisha sana. Si kawaida kwa Rais kujitokeza hadharani na muitikio uwe wa namna hii. Tumeona uko nyuma pamoja na lawama walizoshushiwa Kikwete na Magufuli...
  4. polokwane

    Miaka 10 maandalizi ya sensa lakini hadi sasa vifaa vya sensa hakuna. Hii ni aibu kwa taifa, aibu kwa Serikali

    Hii nchi ina mambo ya aibu sana mawaziri wote wapo kimya utadhani wamemsusia mama Samia nchi mambo ya hovyo hovyo ambayo hata mwananchi wa chini kabisa anaona. Makarani wameanza kazi jana hawana kifaa hata kimoja, zaid ya tablet ambazo na zenyewe naambiwa ni tia maji tia maji. Tablet zinazo...
  5. N

    Rais Samia anaonyesha rangi yake halisi kwa viongozi wazembe

    Hotuba iliyotolewa na Mh. Rais wakati wa kuwaapisha viongozi mapema siku ya jana ni muendelezo wa kasi yake katika kuhimiza utendaji wenye tija kwa watumishi wa umma. Baadhi ya mambo yanayohimizwa na Mh. Rais ni pamoja na ; 1. Utendaji wenye tija kwa watumishi wote wa umma katika Wizara...
  6. Corticopontine

    Magufuli alikuwa adui mkubwa wa wanafiki, wazembe, mafisadi na wabadhilifu wa mali za Umma

    Hayati Dr. Magufuli alikuwa kiongozi bora wa karne ya 21 alikuwa simba wa vita alikuwa hana mzaha na watu wazembe, mafisadi, wezi na wabadhirifu wa mali za umma. Dr. Magufuli Historia yake ilianzia pale alipoanza kazi ya uwaziri hakuwa mtu mzembe alifanya kazi kwa bidii kubwa sana hakupumzika...
  7. M

    NSSF hodari wa kudai na kufuatilia michango lakini wazembe kulipa mafao ya Wastaafu

    NSSF ninayoifahamu ni wakali sana mwajiri akichelewesha michango, wakali sana mwajiri asipowasilisha michango ya wanachama lakini NSSF ni wazembe, wavivu na watesi wa wanachama wao pale wanapokuwa hawana michango na wanapofuatilia mafao yao, hata fao la kukosa Ajira tu. Unakuta mtu anachangia...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    Tabia ya kulalamika hufanywa na watu wazembe na malofa

    Heshima kwenu Wakuu! Hakuna tabia inakera Kama mtu kulalamika, sasa unalalamika nini, yaani upuuzi tuu! Kulalamika ni tabia walizonazo wazembe na malofa, kila kitu kulalamika, kila kitu kunung'unika, upuuzi mtupu! Oooh! Wanasiasa wanapiga Sana hela, Kwa nini nawe usijiingize Huko kwenye siasa...
  9. John Haramba

    Rais Samia awatumbua Wakurugenzi wa Halmashauri wanne kwa ubadhirifu wa Fedha zikiwemo za UVIKO-19

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa njiani kutoka Mwanza kwenda mkoani Mara, leo Ijumaa ametangaza kutengua uteuzi wa wakurugenzi wanne wa Halmashauri ya Buchosha, Iringa, Mbeya na Singida Mjini baada ya kubainika kutumia vibaya fedha za UVIKO-19. --- Rais Samia Suluhu Hassan...
Back
Top Bottom