wazima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Idugunde

    Zitto Kabwe: Watu wazima kujadili Milioni na Bilioni ni kukosa kazi za kufanya

  2. S

    Katuni za Watu wazima zinapatikana Tanzania tu,

    Yaani kama umeshavuka miaka 25 basi kuangalia Tom & Jerry inakuwa ni vioja na kuonekana mtu wa ajabu sana,bado hujakua.Ila kama unataka kufurahi kama enzi zile basi angalia viongozi wa Tanzania wanapozungumza ,wawe wa serikali au wa vyama vya siasa,hata huko kweny vyuo au hata wale maprofesa...
  3. mojave

    Kuanzisha biashara ya diapers na sanitary pads

    Waungwana habari ya leo....? Bila shaka wengi wetu tu wazima na Mungu katupatia neema ya kuiona siku ya leo na walio wagonjwa Mungu aendelee kuwapigania. Nakuja kwenu kuomba msaada wa kujua ni wapi naweza kupata hizi bidhaa/ product (diapers and sanitary pads) kwa makampuni mbali mbali kama...
  4. Sky Eclat

    Mama anataka watu wazima wasio na watoto wakataliwe kuingia Disney Land

    Mama huyu ametoa malalamiko yake kuwa watu wazima wanasababish foleni kuwa ndefu. Waruhusiwe tu wenye watoto na wazazi au walezi wao. Ameendelea kusema watoto wanaposikia njaa foleni za kununua chakula ni ndefu na wengi wao ni watu wazima wasio na watoto. Kuna mtoto wa miaka mitatu alikua...
  5. Idugunde

    Nini kimesababisha mabadiliko haya? Mabinti wadogo wanapenda watu wazima

    Kuna mabadiliko makubwa sana kwenye jamii yetu siku hizi. Unakuta binti wa miaka 20 anapenda kuwa na mtu mzima wa miaka 40 na kuendelea na wao wanasema ndio wanaofaa kwa mapenzi na maisha kwa ujumla. Nimefanya tafiti nimeshindwa kuelewa, hii ni kwa nini?
  6. M

    Navutiwa na wanawake watu wazima

    Mambo vipi wadau Mimi kijana wa makamo 23 years Nina aleji ya kupenda wanawake watu wazima hususani walio single kuanzia 40 na kuendelea Wengi wao huwa wananikata haja zangu haraka nanikishafanya nao mapenzi basi nalizika tofauti na vibinti vya umri wangu kuna mmoja nilimpenda hadi nikawa...
  7. Yudatade Edesi Shayo

    Mapenzi ya wanawake watu wazima ni matamu sana

    Kwa umri wangu sikuwahi kuwa kwenye mahusiano ya kimahaba na mwanamke aliyenizidi umri mpaka mwaka huu nilipopata mama mwenye miaka 40 alimaarufu namba A. Mimi nina 27yrs, hakika naenjoy maana wana ladha tofauti kabisa 1. Wanajua mapenzi na ni wasafi wa kiwango cha SGR. Unakula tunda la grade...
Back
Top Bottom