waziri gwajima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyendo

    Waziri Gwajima: Askofu Gwajima ni shemeji yangu, alidai atamfufua Chifupa pia alikutwa na Mrembo akasema mkono wa Baunsa

    Waziri wa Afya, Dkt Gwajima leo ameelezea suala askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima kupinga chanjo ya Covid-19 na kudai pamoja na ushemeji walionao haungani na itikadi zake. Pia ameshangaa wanaomuamini akitolea mfano wa Askofu kudai atamfufua Amina Chifupa kitu ambacho...
  2. Naipendatz

    #COVID19 Waziri Gwajima aagiza Askofu Gwajima kukamatwa ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya UVIKO-19

    Askofu Gwajima ni shemeji yangu, lakini mimi waziri wa wananchi nimekula kiapo mbele ya Rais cha kutumiakia nchi, sio kumtumikia shemeji. Mimi ndiye msemaji wa masuala ya afya nchini, nimechoka kuvurugwa naagiza akamatwe popote na akahojiwe juu ya haya madai - Dk. Gwajima -- Butiama. Waziri wa...
  3. U

    Waziri Gwajima akicheza Ngoma ya Egumba akiwa ziarani Musoma

    Pichani chini: Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Dorothy Gwajima akicheza Ngoma Ya Egumba Akiwa Katika Ziara Ya Kikazi Kutembelea Chuo Cha Maendeleo ya Jamii Buhare Musoma.
  4. Determinantor

    Kwanini Waziri Gwajima anaficha taarifa ya Dkt. Sospeter Bulugu kuzidiwa ghafla wakati akitoa hotuba?

    Kuna video clip inazagaa kwenye social media ikimuonyesha Mwamba mmoja (simfahamu) ila seems ni miongoni mwa watu walikua kwenye list ya watoa speech kwenye lile kongomano LA Covid-19 akishindwa kuongea (huenda aliaanguka)! Kabla ya kupata msaada video clip hio haionyeshi kilichoendelea ila...
  5. Pascal Mayalla

    #COVID19 Waziri Gwajima Kiboko! Ni Mwanamke wa Shoka… Amuita mtu ‘Kibwetere’. Unamjua huyo Kibwetere ni nani na Wakoje naye?

    Wanabodi, Huyu Waziri wa Afya, Gwajima Kiboko!, Ni Mwanamke wa Shoka kweli kweli!, leo kuna mtu amemuita Kibwetere!. Msikilize Waziri Gwajima Jee unamjua huyo aliyemuita Kibwetere ni nani?, na ni nani wake au wakoje nae?. Ukiishamjua Kibwetere ni nani, utakubaliana na mimi, huyu Waziri...
  6. Nyani Ngabu

    #COVID19 Waziri Gwajima is something else! Akimbia kuthibitisha yuko fit baada ya chanjo

    Huyu waziri wetu wa afya huyu 🤣🤣 Hahaha nimeishia tu kumpenda aisee. She is special.
  7. Shujaa Mwendazake

    #COVID19 Waziri Gwajima: Kauli ya Hayati Magufuli kuhusu Chanjo inapotoshwa

    Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima amesema kauli ya hayati Dk John Magufuli kuhusu chanjo inapotoshwa kwani hakusema watu wasichanje ila kuwe na umakini kutokimbilia chanjo bila kujiridhisha. Waziri Gwajima ameyasema hayo leo Jumatano Julai 29, 2021...
  8. beth

    #COVID19 Waziri Gwajima: Maambukizi ya COVID-19 yapo, wasiochukua tahadhari waitikie wito

    Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Doroth Gwajima amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameshatoa maelekezo kila mtu avae barakoa kwenye mikusanyiko, hivyo watu wachukue tahadhari. “Kasi ya wagonjwa kuendelea kujitokeza na kulazwa kwenye hospitali zetu inaashiria...
  9. J

    #COVID19 Waziri Gwajima: Elimu kuhusu Corona inatolewa na Wakuu wa Mikoa na Wilaya. Kirusi kinabadilika badilika siyo kama mwanzo!

    Waziri wa afya Dkt. Gwajima amesema wagonjwa wa Corona wanaongezeka hivyo wananchi wachukue tahadhari. Kwa sasa elimu ya kupambana na Corona inatolewa na Wakuu wa Mikoa na Wilaya kwa sababu kirusi kinabadilika badilika na sisi tunabadili style ya kukikabili kwani Wizara ina mambo mengi sana ya...
  10. MPUNGA MMOJA

    Waziri Gwajima: Marufuku kuwauzia kadi za kliniki kina mama wajawazito

    Waziri wa Afya Dkt Gwajima amepiga marufuku kina Mama Wajawazito, hakuna utaratibu huo. Awali kadi zilikua zikiuzwa sh 5000/= mpka 20,000/= na baadhi ya vituo vya kliniki ilifika sh 50,000/=.
  11. S

    Yule waziri Gwajima ni kiboko - anakupa makavu laivu

    Mijibaba na ndevu zao wanawekwa kiti moto na kufikia kuomba msamaha kwa Waziri Gwajima ,watu kama hawa ndio wanaofaa ,na alipiga dongo kubwa sana ,dongo ambalo lilimlenga maremu kupanga vihio kwenye roho za serikali au kupanga watu ambao fani zao ni tofauti na wanapopaongoza.
  12. J

    Waziri Gwajima: Nawapongeza sana Mbeya kwa ujenzi wa jengo la kisasa la wajawazito, Leo nimefurahi sana!

    Waziri wa Afya Dr Gwajima ameupongeza mkoa wa Mbeya kwa ujenzi wa jengo la kisasa la wajawazito. Dr Gwajima amesema LEO amefurahi sana. Waziri wa Afya yuko ziarani mkoani Mbeya akikagua shughuli mbalimbali za wizara yake. Source Upendo tv Maendeleo hayana vyama!
  13. Mnyakyusa Ipinda

    #COVID19 Wizara ya Afya hamtutendei haki, kipimo cha COVID19 ni ghali sana

    Kwako waziri wetu wa Afya Dr. Gwajima. Sijajua sababu ilofanya hadi muweke bei ghari hivyo kuoata hichi kipimo kwa wanaosafiri, kipimo ni 235,000 Tsh. (100 USD) , hii sio sawa kiukweli mnatuumiza sana sisi wa vipato vya chini ambao tunapata visafari vya dharula katika kutafuta maisha, huu ni...
Back
Top Bottom