wazuri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Upekuzi101

    Watu wazuri hawafi 😳

    Kwa kauli mzee Makamba aliyoitoa tena tena mbele ya mkutano mkuu kuwa watu wazuri hawafi, inafikirisha na kuhuzunisha. Ukitizama umri na busara alizotegemewa kuwa nazo mzee huyu bado tunashindwa kuamini kuwa J. K Nyerere alikua mtu mbaya, mzee Mkapa alikua mtu mbaya, hayati Karume alikua mtu...
  2. E

    Watu wazuri hawafi haraka - ni blackmail kwa utawala

    Kila nikitafakari kauli ya "watu wazuri hawafi haraka" inanichanganya maana ninaiona kama blackmail kwa utawala
  3. J

    Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

    Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025 Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio...
  4. Bubu Msemaovyo

    Wazuri hawafi " Mapema" maana yake nini?

    Mzee Makamba siyo utelezi ni kusudi kabisa kwasababu kama ni utelezi mbona kuna kauli uliirekebisha papo hapo. " Wazuri hawafi mapema, ndiyo maana Kikwete yupo, Kinana yupo" MADA " WAZURI HAWAFI MAPEMA" Kumbe hawa waliokufa walikufa mapema yaani kabla ya muda wao. Kama ilikuwa ni kwasababu ya...
  5. Okrap

    Wanaume wazuri (handsome) wahuni sana hawajatulia

    Wanaume ma HB hamjatulia hata kidogo yaani na sasa hivi ndio mmejaa sana Mnaringa then mnataka kila mtu mulale nae pu Bora nitafute mwenye sura personal sura ngumu hanogi kwa chumvi wala sukari Ninyi nimewaachia watoto
  6. Z

    Naenda Hungumalwa. Naomba kuelekezwa lodge yenye mabinti wazuri

    Wadau Leo nitalala Hungumalwa. Naomba maelekezo lodge au guest yenye pisi kali
  7. M

    TaifaStarz ni wazuri kuliko Senegal. Basi tu ipo siku tutatoboa

    Hakuna ubishi. Staz wanakipiga kuliko Senegal. Kila mtu anaona kwa macho yake. Au mnabisha?
  8. Kigoma Region Tanzania

    Lubengela village, Kigoma. Kijiji pekee chenye wanawake weupe na wazuri kwa muonekano

    Asilimia kubwa ya wanawake katika kijiji hichi ni weupe na wazuri kimaumbile, japokuwa eneo hili lina mchanganyiko wa makabila ya kimanyema na kiha. Pia kuna wanawake wafanyabiashara kutoka nchini Congo na Burundi kwasababu ni eneo linalo tegemewa kwa uvuvi wa samaki na dagaa. Nyumba ni za...
  9. T

    Osama El-labi ni bondia mzuri na anahitaji makocha wazuri tu ili kuja kuwa bingwa wa ndondi hapa nchini.

    Habari Jana usiku nlifuatilia mpambano kati ya emiliano patrick na Osama el-labi,kwa hakika nimevutiwa sana n kipaji cha huyu bondia chipukizi.Osama ametuonesha sisi wapenzi wa ndondi kuwa atakuja kuwa moja ya mabondia wazuri hapa nchini. Wito wangu ni kwa wadau wa ndondi kuweza kumpatia...
  10. N

    Makamba, Mwigulu au Nape watakuja kuwa ma Rais wazuri sana!

    Changamoto kubwa, nionavyo mimi, ya nafasi ya uraisi ni kusita kufanya maamuzi kutokana na labda kuogopa lawama na kelele kutoka kwa wananchi na wadau wengine. Makamba, Mwigulu na Nape; Hawa matusi yameshamalizika ya kuwatukana kabla ya kufanya lolote, sijui kama kuna tusi la kuwatukana...
  11. Midumare Ngatuni Iwato

    Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

    1. Warangi 2. Wanyaturu 3. Wameru 4. Wamasai 5. Wasukuma 6. Wachagga 7. Wahaya 8. Wanyamwenzi 9. Wapare 10. Wanyakysa
  12. mdukuzi

    Tuzae na wanawake wazuri ili watoto wetu wasikose ajira huko mbeleni

    Najua kuna watu watanipinga ila huu ndio ukweli. Muonekano wa mtu unaweza kumsaidoa kupata fursa au kukosa fursa fulani. Kuna watu wengi nawajua wapo kwenye vitengo nyeti si kwa sababu wana uwezo kichwani bali muonekano wao umewabeba. Wewe unayelilia ajira kabla ya kumlaumu Mungu hebu...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    Wanawake wengi bila urembo hawavutii! Sio wazuri

    Kwema Wakuu! Ninawaelewa wanawake katika Kupenda pesa Kwa sababu bila matunzo Kwa kweli hawafurahishi, hawavutii, Kwa uzoefu wangu mdogo na wanawake nuliowahi kuwaona katika majiji makubwa nachelea kusema Wanawake wengi yaani 95% bila ya urembo hawavutii na wala hawaonekani kuwa wazuri...
  14. S

    Tujuzane. Wataalamu wa kutibu meno wanapatikana wapi?

    Habari wakuu, 1.Tujuzane hapa kama unawajua waganga wa asili wanaotibu meno,hasa fizi kuvimba na maumivu makubwa ya meno. 2. Dentists wazuri. 3.Hospitali nzuri za meno. 4. Dawa nzuri ya meno. 5. Njia zilizokusaidia. Mawasaliano yao na bei zao. Dogo hapa ana shida ya haraka.
  15. GENTAMYCINE

    Mliopo Morogoro ni 'Chocho' gani lina 'Mademu' wazuri ila hawana Gono, Kaswende na Dally Kimoko Virus?

    Fanyeni chap kunijibu kwani nipo Moro!!
  16. Pascal Mayalla

    Uhuru wa Habari Tanzania: Kati ya Waparaji na Wakunaji Wazuri, Nani Watamsaidia Zaidi Rais Samia?. Tunakuomba Mama, Usiwaparure Waparaji!.

    Wanabodi, Hii ni makala ya Jumapili hii Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Siku ya Mei 3 kila mwaka ni Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Vyombo vya Habari. Nchini Tanzania, siku hii imeadhimishwa Kitaifa jijini Arusha, mgeni...
  17. BigTall

    Kinana: Viongozi wazuri wanaogopa kugombea sababu wanajua watatakiwa kutoa fedha nyingi

    Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amewata wajumbe wa Mkutano Mkuu Mkoa wa Kilimanjaro kuchagua watu sahihi wanaokubalika na wananchi. Aidha, amewataka kuepukana na kasumba ya kupigana fitna na tabia ya watu wenye uwezo ndani ya chama kupigwa vita ili kuwarudisha nyuma...
  18. Christopher Wallace

    Huyu mrembo kwasasa namuelewa sana, Tanzania kuna wanawake wazuri jamani

    jamani kama ni uzuri huyu binti amejaaliwa, kuanzia shape, sura mpaka rangi. Tutajenga kweli kwa mtindo huu? Yuko wapi yule aliyesema Tanzania hakuna watoto wazuri?
  19. Lycaon pictus

    Wacheza mieleka ni waigizaji wazuri sana

    Mwaka huu nimemuona John Cena kwenye movie mbili. Suicide Squad na vacation friend. Amejitahidi sana bado japo kufikia level za kina The Rock. Nadhani mchezo wa mieleka unawandaa vema sana hawa jamaa kuea waigizaji. Ni kama training hivi. Maana mtu kama The Rock ni muigizaji mwenye uwezo...
  20. mgt software

    Kati ya Mabinti wazuri waliopata umaarufu na wakapata hasara uwezi kumkosa Tunda na Wema

    Wana JF Wasalaam. Nianze kwa kusikitika kwa kumkosa Warumi, ambaye alikuwa anatupa burudani motomoto za vibweka vya wauza nyago Dar, tumekosa vitimbi vingi safari hii. Leo katika viwanja vya mastaa katika operation pitisha macho, nawaona mastaa wawili wanaooenda kupoteza kutokana na umaarufu...
Back
Top Bottom