Compressor machine L 1000, Gas cylinder 2, Floor Jack 3ton, Dry vacuum cleaner, Car pressure wash machine, Welding machine. Vyote kwa jumla 4ml tu.
Nipo sinza. Bei sawa na bure. Wahi mapema kabisa tajiri
Mawasiliano
0767266299
Heavy duty compound miter saw, mashine ya kukata aluminium, chuma, mbao, shaba, PVC n.k
● Powerful- 2400W
● Msumeno Inchi 10
● Ina laser positioning
● Inabend kushoto na kulia 45°
● Inakata upana wa 9cm
● Inaslide urefu 34cm
● inaweza kazi kwa muda mrefu
Angalia picha zake na video hapo chini...
Hello,
Katika mizunguko yangu mikoani nimefika eneo nikakuta changamoto ya kutengeneza mageti na vifaa vingine vyote vinavohusiana na kuchomelea vyuma,
Shida ni kwamba sijawahi kuwa engaged na kuwa na ofisi kama hiyo ila kwa sasa natamani sana niwe nayo na sitaki nisite wala kungoja...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Natafuta fundi welding mwenye uzoefu wa kutengeneza Spiral staircase.
Material kwa maana ya chuma, welding sticks, grinder discs kulingana na size grinder size atakayo kuwa nayo.
Fundi atachaji gharama ya fundi tu. Kazi itafanyika nyumbani kwangu.
Kama...
Habari wadau.
Mali tajwa hapo juu zinauzwa. Bado zipo katika hali ya upya maana zimetumika mara moja tu na baada ya mradi kukamilika hazihitajiki tena hivyo nataka kubadilisha walau nirudishe pesa kidogo zinisaidie kwenye mambo mengine.
Kwa mwenye uhitaji namkaribisha sana.
Grinder
Angle...
wazee wa kuchomelea vyuma vizito, vigumu
mashine hio hapo inafanya kazi vizuri sana.
niko mwanza igoma
bei elekezi ni Milioni moja Tsh.
Tuwasiliane Whatsapp +255772225555
Wakuu, natumai wazima. Nimekuja kwenu kwa niaba ya mjomba wangu.
Mjomba wangu anahitaji kazi, nafasi ya welding.
Ana uzoefu wa kufanya kazi kawaida na viwandani zaidi ya miaka minne.
Ni kijana wa miaka 30 na ana uzoefu wa kufanya kazi Tanzania na Afrika Kusini katika kazi za kawaida na...
Nafasi ya kazi fundi mechanical na Fundi welding wanahitajika, sifa kubwa mbili mtu awenazo awe amesomea na awe na cheti na na pia awe na uzoefu wa kufanya kazi viwandani
Piga 0766320816 kwa maelewano na maelekezo zaidi
Baada ya Baa ya Kitambaa Cheupe kuteketea kwa moto na kupelekea hasara kubwa kwa mmiliki wa Baa hiyo, chanzo cha moto chatajwa.
Fundi wa idara ya dharura wa TANESCO, Jackson Henry amesema chanzo cha moto ulioteketeza baa ya Kitamba Cheupe iliyopo Tabata jijini Dar es Salaam ni fundi aliyekuwa...
Naomba kujua utaratibu wa kuendesha ofisi ya welding na seremala kama boss si fundi wa hizo fani,jinsi ya kuwalipa welders na mafund wengne.
(NB mashine na vifaa vingne vyote vya boss)
Ndugu wana JF kulingana na utafiti wangu mdogo nimeona kuna uhitaji wa uzi wenye kujuzana wapi unaweza pata vitu kama vilivyotajwa hapo juu na vingine vinavyohitajika katika magari au mashine kutoka kwa wauzaji tofauti tofauti wenye hicho kifaa iwe kwa bei ya jumla au reja reja.
Lengo ni kujua...
Habari za mchana viongozi.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 Nina ujuzi katika sales and marketing na customer care service na data entry na stock controller namba yangu ya simu 0654918030.
anahitajika
cashier
certificate
chakula
cheti
clearing
elimu
fundi
habari
hii
jamhuri
jina
kazi
kulipwa
mgahawa
mimi
mpishi
mtu
natafuta
natafuta kazi
ndugu
ndugu zangu
siku
tanzania
unatafuta
uzoefu
vitafunwa
wakuu
waungwana
welding
Overview
Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation in Geita Region. The company is a subsidiary of AngloGold Ashanti, an international gold producer headquartered in South Africa, with operations in more than ten countries, in four continents. The...
Habari ndugu zangu nimefungua kijiwe cha welding na compressor kwa ajili ya kuunga vyuma na kuziba pancha za magari yote ,
Hivyo wanahtajika vijana wawili kwa ajili ya kazi hizi alie tayari ani pm
Location ushrombo karibu na sheli ya moil.
Kwanini plastic welding?
1. Ni shughuli ya mtaji mdogo
2. Watu wengi hawaijui, hivyo utakuwa unique
3. Watu wengi wamekuwa wakitoa vyombo vyao vya plastics vilivyoharibika kwa watu wa screppers kwa bei ya chini sana maana hawajui watavitengeneza vipi.
4. Ni shughuli yenye kipato cha haraka na...
Mimi ni fundi WELDING mzoefu
Natafuta kazi
NICKSON JOHN NGILIULE
DODOMA 0713515769/0762758973
Email: njohn2139@gmail.com
PERSONAL DETAILS
FULL NAME: NICKSON JOHN NGILIULE
DATE OF BIRTH: 23/09/1993
PLACE OF BIRTH: DODOMA MJINI
RELIGION: CHRISTIAN
MARITAL STATUS: SINGLE
AGE : 28YEARS...
Kwa majina naitwa sabit nganga nimkazi wa kilombero. Fani yangu ni fund Welding. Pia nina uzoefu wa kufanya kazi kwenye viwanda vikubwa vikiwemo KILOMBERO SUGAR COMPANY.
Kwaiyo nilikuwa naomba kama kutatokea nafasi yoyote ya kazi tuambizane.
Tell: 0627841578.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.