Nyerere aliianzisha CCM.
Baada ya Nyerere CCM imeongozwa na Mwinyi,Mkapa, Kikwete, Magufuli,Samia.
Na katika miaka hii yote Familia ya Nyerere imeendelea kuwa na uhusiano mzuri na Chama Cha Mapinduzi.
Sasa sioni Mbowe anatoa tatizo gani kuacha uongozi wa Chama kama ikibidi.
Kwa hiyo lolote...