weupe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BARD AI

    Faru Weupe kupelekwa hifadhi ya Burigi Chato

    Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) imeiteuwa Hifadhi ya Burigi-Chato kuwa miongoni mwa hifadhi mbili nchini zitakazoendeleza kuhifadhi faru weupe ambao ni adimu zaidi nchini. Kupelekwa kwa faru weupe katika hifadhi hiyo ambayo ni ya tano kwa ukubwa kati ya hifadhi 22 zilizopo. Hivyo...
  2. Ali Nassor Px

    Kabla ya kuja watu weupe waafrika tuliamini uwepo wa Mungu ila hatukuamini uwepo wa shetani

    Jana nilibahatika kufanya maongezi na mzee moja wa zamani sana age inakimbilia kama miaka 90 now. nilimuuliza maswali mengi sana yanayohusu imani ila tukaenda mpaka miaka ya nyuma kidogo kutokana na maelezo yake niligundua aya. kuwa waafrika kabla ya kuja waarabu, wareno , waingereza...
  3. dongbei

    Kanga Weupe Wanahitajika

    Salaam wakuu, Nahitaji Kanga MWEUPE kwa ajili ya kufuga. Nahitaji zaidi dume, ikishindikana hata jike ni sawa pia. Mimi ninafuga kanga wa madoa hivyo nahitaji kuchanganya na weupe pia. Ndiyo maana nahitaji mmoja tu ili nipate mbegu. Kama uko naye tuwasiliane hapa au PM kwa namba za simu. Pia...
  4. Kigoma Region Tanzania

    Lubengela village, Kigoma. Kijiji pekee chenye wanawake weupe na wazuri kwa muonekano

    Asilimia kubwa ya wanawake katika kijiji hichi ni weupe na wazuri kimaumbile, japokuwa eneo hili lina mchanganyiko wa makabila ya kimanyema na kiha. Pia kuna wanawake wafanyabiashara kutoka nchini Congo na Burundi kwasababu ni eneo linalo tegemewa kwa uvuvi wa samaki na dagaa. Nyumba ni za...
  5. F

    SoC02 Enyi wavaa nyeupe

    Mwanangu sasa watu weupe wanapoteza sifa yao ya uwajibikaji na ufataji wa sheria, hatuoni hata mmoja akikemea hili zaidi ilisikika kauli moja enzi zile nayo ilisema "hizo ni za kiwi tu" dah! kauli ile iliwapa ukubwa sana hadi leo haikavunjwa. Ila Mwanangu siku hizi hata wakisimamisha...
  6. F

    Enyi watu weupe?

    ENYI WATU WEUPE Mwanangu sasa watu weupe wanapoteza sifa yao ya uwajibikaji na ufataji wa sheria, hatuoni hata mmoja akikemea hili zaidi ilisikika kauli moja enzi zile nayo ilisema "hizo ni za kiwi tu" dah! kauli ile iliwapa ukubwa sana hadi leo haikavunjwa. Ila Mwanangu siku hizi hata...
  7. Carlos The Jackal

    Wabunge wengi Tanzania ni Vilaza, weupe sana vichwani

    Hapa Ndipo unaona Umuhimu wa Kua na Kiongozi Mkuu wa Nchi mwenye Akili kama Hayati, Mwanasayansi na Mzalendo wa kweli. Bunge tulonalo limejazwa na Watanzania wengi Vichwa maji, Vitunguu maji kabisa, Mbunge anasimama kuongea unaona kabisa huyu kichwan mweupe. Na Kwa sababu ya upeo wao Mdogo...
  8. J

    Nilichoshuhudia ni aibu, viongozi BAVICHA ni weupe kichwani, CHADEMA mna kazi sana ya kuwafundisha kujenga hoja na kufanya utafiti

    Niweke wazi kwanza sina chama nimekuwa nikipiga spana pande zote, na unaweza kucheki profile yangu kuthibitisha hilo. So napenda hoja yangu isijadiliwe kishabiki bali objectively Ni kuhusu vijana wa Chadema, hawa wapo wengi sana mtandaoni kuliko vijana wa vyama vingine, ACT, CUF, CCM n.k...
  9. Chillah

    Ukraine: upendeleo kwa watu weupe dhidi ya weusi, Mkuu wa WHO asema

    Umakini kwa Ukraine unaonesha upendeleo kwa watu weupe dhidi ya weusi, Mkuu wa WHO asema CHANZO CHA PICHA,EPA Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) anasema ulimwengu hautoi tahadhari sawa kwa dharura zinazoathiri watu weusi na weupe. Tedros Adhanom Ghebreyesus alisema ni sehemu ndogo tu ya...
  10. K

    Nani aliwadanganya Wanawake wa Kiafrika kuwa weupe ndiyo urembo?

    Yaani siku hizi imekuwa too much sasa Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa na-chat naye yaani yeye kila picha yake akiweka status yaani ni Mzungu tu Sasa leo katika mizunguko yangu nimekutana naye live. Eee bwana ni mweusi tena ana chunusi. Nimem-block sipendi ujinga Hivi ninyi wanawake wetu...
Back
Top Bottom