wewe

Wewe Gombel is a female supernatural being or ghost in Javanese mythology. It is said that she kidnaps children.This myth is taught to encourage children to be cautious and to stay at home at night. Traditionally, the Wewe Gombel is represented as a woman with long, hanging breasts. Modern representations include vampire-like fangs. This is a popular spirit that also appears in comics.

View More On Wikipedia.org
  1. RIGHT MARKER

    Wewe ni mzazi usisahau jukumu lako la kumlea na kumlinda mwanao

    MHADHARA (106)✍️ Hata kama una majukumu... 1. Mlinde mwanao katika kipindi cha mvua kali. Kamwe asicheze kwenye mitalo ya maji, mabwawa, mito, n.k. 2. Mlinde mwanao dhidi ya ukatili wa kijinsia. Mkague mara kwa mara na umpe elimu. 3. Mlinde mwanao dhidi ya makundi mabaya ya wavuta bangi, wezi...
  2. Madwari Madwari

    Tafuta hela Rais anashinda na mtoto wako ,wewe ukiwa busy na mambo yako ya kazini

  3. KakaKiiza

    Walemnaoguswa na maazi ya rais Trump njoo hapa useme wewe umeathirika namna gani?

    Inajulikana Rais Trump katika kipindi kisichozidi siku 100 maamzi yake yameathiri watu wengi na Taasisi nyingi duniani kote,najua Tanzania siyo kisiwa lazima kuna watu wameathirika na maamzi ya hovyo kwakipindi hiki kifupi! Karibu!
  4. GENTAMYCINE

    Mtangazaji na Mchambuzi Hans Rafae wa CROWN FM jiangalie sana kwani Wewe bado ni Kijana na una Safari ndefu utajiharibia

    Haiwezekani kila uwapo Kipindini Wewe 95% ya Majadiliano yako / Uwasilishaji wako ni kuisema tu vibaya Simba SC ila Yanga SC ambao Mdhamini wao anakulipa Kisiri huku Rais wa Klabu hiyo akiwa ni Rafiki yako kutokana na Kujipendekeza Kwako Kwake wala huisemi. Umejaa tu Unafiki, Wivu na Chuki kwa...
  5. S

    Hata Kama Ungekua Wewe Ungekubali Kufungwa Mara 5 Mfululizo Kweli?

    Ni kweli inauma ila lazima Muzoee
  6. Southern Highland

    Hii Derby haina kipengele labda kipengele uje nacho wewe. Simba wameamua kuja na kipengele chao

    Vibaby boy, last born, drama queens, leo vimethibitisha rasmi hawa watoto wanapenda sana kuonewa huruma na kutafuta sababu tu ili mradi watu wawaonee huruma. Unasusia derby ili iweje wewe? Kwamba wiki nzima hukujiandaa na mechi kisa mazoezi ya siku ya mwisho ndio ususe mechi. Nawaonea huruma...
  7. KING MIDAS

    Kila mtu kuna madhabahu yake anayotoa sadaka, wengine madhabahu zao ni bar, wengine kwenye vinena vya malaya, wengine kwa waganga je wewe unatoa wapi?

    Kila mtu kuna madhabahu yake anayotoa sadaka, wengine madhabahu zao ni bar, wengine kwenye vinena vya malaya, wengine kwa waganga, wengine ni kwenye perfumes za bei mbaya, wengine kwenye simu, wengine kwenye magari ya kifari. Kule pesa yako nyingi iendako, ndiko kwenye madhabahu yako.
  8. The Watchman

    Jumatano ya majivu: Kupakwa majivu ni kukubali kwetu kuwa, tu wadhambi, tunahitaji kusafishwa 'Mwanadamu, u mavumbi na mavumbini utarudi'

    Jumatano ya Majivu, Mwanzo wa Kipindi cha Kwaresima Cha Siku 40 Kwaresima ni kipindi cha siku arobaini za kufunga, kusali, kutafakari Neno la Mungu na kufanya matendo ya huruma. Ni kipindi kinachotualika kumwilisha ndani mwetu utamaduni wa upendo, kwa kufunga na kutenda matendo ya huruma: kiroho...
  9. Mwachiluwi

    Wewe kama mwanaume Unaweza kuvumilia?

    Hellow Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa Nimewekeza...
  10. chizcom

    Kwenye utafutaji watu wanakuwa hawana mda na wewe ila ukifanikiwa ndio kila mtu anajua ushirki wakati hakuwepo

    Watu wengi wawe ndugu,jamaa,marafiki ,serikali,ccm mpaka wapita njia ukiwa unatafuta hakuna mwenye mda na wewe. Ila ukifanikiwa unaweza kusikia yule kazi wa maimum hata kama we ni mtoto haramu kama dini zetu zilivyo kwa ajili ya maskini ukapata haki. Mafanikio ya mtu kwenye utafutaji yana...
  11. Damaso

    Dullah Mbabe umetuonesha wewe ni kichwa cha familia

    Baada ya kupoteza pambano lake dhidi ya Mzambia Mbachi Kaonga, Bondia Dullah mbabe alifanya mahojiano mafupi na vyombo vya habari. Mwandishi: Ulilionaje Pambano? Dullah: Lilikuwa gumu, siko sawa, siko fit nina 'hogo' (Akaonesha picha katika simu), nilikuwa kwenye matibabu kwa miezi sita...
  12. Dialogist

    Kama Na Wewe Ni Mzalendo Halisi, Hebu Tujadili Hili Kwa Pamoja Na Tuishauri Serikali

    Wanabodi, Salaam.. Nimewiwa kuja na bandiko hili usiku wa leo kutokana na changamoto nilizokutana nazo barabarani. Kila mtu anafahamu kwa sasa nchi yetu imepiga hatua kwa namna fulani katika kukaribisha uwekezaji wa nje (foreign investment) ukilinganisha na miaka kadhaa nyuma. Lakini kwa...
  13. greater than

    Zalisha faida kwa uwekezaji mdogo katika UTT na Hati fungani

    Nipo zangu katika Site ya ujenzi ,Kuna wazo la Uwekezaji mdogo limenijia. Kwa wale wanaopokea mshahara wa kuanzia 250,000 hadi 450,000 Ambao hawapati nafasi ya kufanya biashara nje ya kazi yao. Wasio na Pensheni. Uwezo wa kuiweka hela na kuisahau. Fedha yenye maremgo ya miaka miaka mitano...
  14. Eli Cohen

    Newton aligundua laws nyingi za physics kabla hajatimiza miaka 26, Wewe hapo upo katika 30s ila bado unavuta mlango ulioandikwa "PUSH". 😂

    🎓Kitu ulichogundua kikubwa ni namna ya kumbalance mtoto mzuri pale ukiwa unampiga doggy ya kulala dushelele yako isichomoke and you are very proud of it kwa maana hadi leo haijachomoka.
  15. LIKUD

    Mchungaji Mgogo wewe sema huna upako acha kuzunguka mbuyu

    Mara nyingi Mchungaji Mgogo anaonekana kwenye clips akisema " Mimi sifanyi injili ya kitapeli kukwambia nikuombee utapata gari blah blah blah" Baba Mchungaji Wacha kuzunguka mbuyu, wewe sema tu huna upako utaeleweka.🤣🤣🤣 Kwa Mwamposa watu wanaenda wanaombewa na wanapata magari. Tafuta Upako .
  16. Infropreneur

    Kama mwanamke haoni shida kuacha familia yake kuja kuishi na wewe mwanaume, Vivyo hivyo anaweza kukuacha na kwenda kuishi na mwanaume mwingine.

    Wakati unafurahia mke wako kuacha familia yake kuja kuishi na wewe, Ulisahau kwamba ana uwezo wa kukuacha hata na wewe. Ulileta hisia zako na mkeo akaleta hisia zake mkapendana na kuamua kuishi pamoja, ila ulisahau kwamba hisia huweza kuisha muda wowote ukaachwa mchana kweupe (in a day broad...
  17. Nyanda Banka

    Jivunie kuwa Mwanaume na wewe muheshimu Mwanaume

    Sikiliza, Wanaume! Baada ya mvua kuisha, mwavuli unakuwa mzigo kwa kila mtu. Ndivyo uaminifu unavyokwisha pale faida zinapoisha. Ukweli mchungu? Watu wengi maishani mwako wapo hapo kwa sababu wanapata kitu kutoka kwako—pesa zako, hadhi yako, mahusiano yako, au hata umakini wako. Mara mambo hayo...
  18. O

    Kama umefunga TV sebuleni kwa kimo zaidi ya mita 1 Aiseh nakusikitikia

    Acha nifute tu mod mmekuwa wajinga mnawekanuzi kwenye matangazo ya nini nani kawaambia nafanya biashara Moderator futeni huu Uzi mimi naangaika kuandika kwenye jukwaa nalotaka manaepeta kwenye matangazo siuzi chochote nyie vipi bhana
  19. mamamzungu

    Wewe mkaka wa Jamii Forums mimi mwenzio bado nakupendaa

    Salaam nyingi kwenu wana JF… niliwamiss sana humu ndani Leo bwana nimeleta confession yangu juu ya huyu Kijana nilikutana nae humu JF... Nichukue nafasi Hii kukushukuru sana kwa kuwa na mimi katika kipindi kigumu nilichopitia.. pamoja na madhaifu yangu uliweza kunivumilia hivyohivyo. Mara ya...
  20. Eli Cohen

    Papa anasema Trump kufanya deportation ni kuwafanyia mateso wahamiaji. Basi sawa baba, tuanze na wewe, waruhusu maelfu waje kwenye haya majengo yako

    Baba mwenyewe anapoishi pamezungushiwa ukuta
Back
Top Bottom