wife

A wife is a female partner in a continuing marital relationship.
The term continues to be applied to a woman who has separated from her partner, and ceases to be applied to such a woman only when her marriage has come to an end, following a legally recognized divorce or the death of her spouse. On the death of her partner, a wife is referred to as a widow, but not after she is divorced from her partner.
The rights and obligations of a wife in relation to her partner and her status in the community and in law vary between cultures and have varied over time.

View More On Wikipedia.org
  1. Me1986

    Kielimu, wife material aweje na atoke profession Gani!?

    Ova Utafanya naye mapenzi bure bila hela...Mtajuana na kutambulishana kwa wazazi huyo mwingine Acha longoLongo sema una shilingi ngapi Wanamaanisha ukioa usafi wa nguo zako hata boksa utamkabithi yeye bila malipo anapiga kila siku asubuhi na jioni Wanamaanisha Anatunza nyumba yenu kwa usafi...
  2. kyagata

    Nawaibia siri wanaume wenzangu,Mama ntilie ni wife materials.

    Kuna sehemu hivi huwa napiga menu ,ni hii migahawa ya mtaani maarufu kama kwa mama ntilie.so nimeanzisha mahusiano ya kimapenzi na huyu demu,ebana she is very loyal and respective kwangu. Jana usiku wakati namgegeda nikamuuliza mtaji anataka nimuongezee kiasi gani,kaniambia laki 2 na nusu tu...
  3. E

    Mwanamke mmoja amemuacha mume wake na kuolewa na mfanyakazi wa benki aliyeidhinishia mkopo kwa ajili mahitaji yake

    Katika hali ya kushangaza, mwanamke mmoja amemuacha mume wake na kuolewa na mfanyakazi wa benki aliyemuidhinishia mkopo kwa mahitaji yake. Mwanamke huyo, ambaye inasemekana hakuwa na furaha na mume wake licha ya juhudi zake za kutimiza mahitaji yake, aliangukia penzi la mfanyakazi huyo wa benki...
  4. Eli Cohen

    Issue ya Fanton iko very sad, kuna wakati kile ulichopaswa kukihofia tu ni ku-maintain mafanikio yako. Sasa hivi unahofia kama wife ataruka kutaka 50%

    Pole sana Fanton Mahal, i feel for you buddy. Pole kwa kuwa muhanga wa matokeo ya kizazi cha feminism, malezi ya ovyo ya watoto wa kike, sera mbovu zinazojali hisia za mwanamke peke yake, ongezeko la utamaduni wa kisera sera na influence ya social media. Tulipokuwa wadogo, pale baba...
  5. Eli Cohen

    Kicheche anageuka wife material pale anapokuwa ni sexy na mesmerizing. Bandidu anageuka attractive pale anapokuwa na pesa na ushawishi

  6. Fanton Mahal

    Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

    Wakuu heshima kwenu. Poleni na majukumu. Ndugu yenu numerudi tena kuwajuza yale yanayoendelea kunisibu, maana najua hapa wamejaa watu wenye upeo wa kushauri, kutia moyo ,kuonya, kukufungua jicho upate alert na wengine weeengi sana. Wiki kadhaa zimepita toka nilete mikasa yangu na mazonge ya...
  7. realMamy

    My wife has made a big portrait of my side chick and placed it in our sitting room

    Copy and Paste 👇👇👇👇👇 I cheated on her, and I don't even know if she knows. I came home yesterday from a business trip, and I found a big photo of my side chick in my living room. She made a huge portrait. Since yesterday, my mind has been racing, and my heart is beating too fast. 😣💔 My wife...
  8. M

    MSAADA: Tatizo la Halotel Mobile Wife mFi_0428F2

    Habari wana jukwaa. Nina Halotel Mobile Wifi Mfi_0428F2 ambayo nimeitumia vyema kwa kipindi cha miaka 2, ghafla tu imeanza kuleta shida kama ifuatavyo. Ukiweka line na kuwasha, mara inakwambia connecting....then inaconnect halafu baada ya sekunde 30 inaleta insert sim. Wakati mwingine ukiiwasha...
  9. nipo online

    Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

    Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri, Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie...
  10. tang'ana

    Wife kanifuma nimempakata bar maid kwenye mapaja,nasolve vipi hii kesi?

    Last weekend wife alikua safarini,akarudi ghafla home kuna bar flani jirani akaja kuchukua soda za wageni,akanifuma nimempakata bar maid flani hivi.hajanisemesha kitu since then,kanuna tu naona. Nasolve vipi hii ngoma wakuu?
  11. Sisa Og

    Hela ndiyo Kigezo cha Wife Material

    Nawasilimu wana JF Kwakweli tangu niliposhuhudia dem anaomba hela kwa boy wake anapewa halafu na yeye anaenda kumtoa lunch boy wake, basi niliumia sana. Njia pekee ya kuniach ni simple, niombe hela yani hapo napoteza interest. Katika harkati zangu za kutafuta wife material, nikakutana na huyo...
  12. Friedrich Nietzsche

    Wife chuchu zinamuuma, shida ni nini?

    Wife maziwa yanamuuuma hata vile vichuchu ndo usiseme hata ikiguswa na nguo. Shida itakua nn kwa wakongwe au kina dada. Status: Hajawai kuzaa Hajawahi shika mimba Hanyonyeshi Hajawai kua na hilo tatizo
  13. WA KISHUA OG

    I am looking for a wife

    ...
  14. WA KISHUA OG

    I am looking for a wife.

    ... Active naomba ufute hii thread
  15. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Wife aliniamsha usiku wa manane ni mfuatie embe bichi kisa ana mimba

    Wanawake Wana mbinu nyingi sana za kukutesa. Akiwa na mimba tumelala vizuri kabisa bila changamoto yoyote Ile. Nashituka kutoka usingizini nashangaa kuona mwenzangu analia bila sababu. Nauliza unaumwa kimya!! Uchungu umefika? Na hapo mimba Bado sana muda wa kujifungua wife yupo kimya...
  16. DAVID PALMER

    Majibu ya wife baada ya kumwambia nina mtoto nje

    Sina mtoto, nilikuwa nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikuwa sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana. Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavyomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina...
  17. Balqior

    Baadhi ya wadada ukipiga nao story, utasema wife to be huyu hapa, ingia nao kwenye mahusiano ndo utajua hujui

    Habarini, Kuna baadhi ya wadada ni majirani zangu, kimuonekano ni wazuri tu, wameajiriwa, wapo kwenye umri wa kuolewa lakini hawajaolewa, kwa nyakati tofauti nilibahatika kupata wasaha wa kukaa nao chini na kupiga story kuhusu mahusiano ya kimapenzi waliowahi kupitia. Tuliongea mengi ila...
  18. Natafuta Ajira

    Simba's fun nearly lost a wife

    .
  19. realMamy

    Sifa za Wife Material

    Baadhi ya sifa za mwanamke ambazo zinaweza kumfanya kuwa "wife material" ni pamoja na: 1. Uaminifu: Kuwa mwaminifu na kuaminika katika uhusiano. 2. Upendo na Huruma: Kuwa na uwezo wa kujali na kusaidia mwenzi wako katika nyakati za shida na furaha. 3. Kujali: Kuwa na uwezo wa kujali na...
  20. W

    Tabia za wanawake kutoka makabila mbali mbali kwenye vigezo vya utafutaji, wife material, pisi kali, maisha ya ndoa, mapishi, support, n.k

    N:B..Vipimo ni wastani / Average katika kundi kubwa, hatuangalii moja moja kwamba Kuna mzaramo flani ulimkuta hapendi ngoma, kuna wachaga uliwakuta nyumba flani hawapenda pesa, n.k. Pisi kali – Ni kweli nchi ina pisi kali kila kona lakini komesha ipo kwa Wanyaturu wa Singida, Wa iraqw tuliozoea...
Back
Top Bottom