wife

A wife is a female partner in a continuing marital relationship.
The term continues to be applied to a woman who has separated from her partner, and ceases to be applied to such a woman only when her marriage has come to an end, following a legally recognized divorce or the death of her spouse. On the death of her partner, a wife is referred to as a widow, but not after she is divorced from her partner.
The rights and obligations of a wife in relation to her partner and her status in the community and in law vary between cultures and have varied over time.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    I'm looking for wife

    I'm Tanzanian, 41yrs of age, christian, black in color, Midiam height, employed. My preference is a girl/ woman of the following characters/look: - Aged 28-32 years -Beautiful with attractive figure - Deep christian -Educated ( at least with a degree/ degree on progress) - With...
  2. tang'ana

    Siku ya tano leo wife kaninunia kisa nilimchana ukweli kuwa hajapendeza

    Habari za leo watanganyika wenzangu? Jumamosi iliyopita tulikuwa na mwaliko wa harusi,sasa basi my wife akaniambia nikimaliza mizunguko yangu nimpitie ofisini kwake ili twende wote home tukajiandae, well me kwenye saa 10 hivi jioni nikawa nimemaliza mizunguko yangu, nikasema ngoja nimpitie wife...
  3. kyagata

    Wife amenishauri nisiwe na mazoea na bar maids

    Mambo wakuu? Nimepita bar flani na wife kusuuza koo ameona kuna baadhi ya bar maids flani wa kike wamenizoea sana kwenye hiyo bar,ghafla akanishauri nipunguze mazoea nao. Atakuwa ana maana gan wakuu?
  4. A

    Nahitaji rafiki wa kike ambaye atakuwa mke wangu ziku za baadaye

    Habari za jioni ndugu zangu wana MMU. Bila kupoteza muda ni kwamba nina miaka 30, mkiristo, nina elimu ya chuo, nimejiajiri mwenyewe, nina urefu wa wastani. Hivyo basi, kutokana na hizo sifa hapo zilizotajwa hapo juu napenda kuwataarifu kwamba nahitaji rafiki wa kike ambaye siku za mbeleni...
  5. Masokotz

    My Ex Wife anateseka sana, nifanyeje?

    Closed
  6. Masokotz

    The 'Bitch' Wife...

    Closed
  7. No Escape2

    Msaada: Hii vita mimi na Wife

    Kwa kweli sijui niwalaumu hawa wamiliki wa TV Stations au sijui nifanyeje! Ninapokuwa home vita ni kali sana mpaka tunanuniana. Kwa akili ya remote. Wife yeye hachoki kuangalia Tamthilia mimi nataka Taarifa ya Habari, mbaya zaidi muda wa kipindi ni mmoja! Halafu nimegundua wanaongalia Tamthilia...
  8. Pdidy

    3 master keys to make your wife love u forever

    By Pst Samuel Olagbenjo 1. LOVE her like a wife Men, Our wives are the best thing that has happened to us after our salvation. When Adam was created and placed in the Garden of Eden, despite all the beauty, glamour, wealth and riches of that garden, the bible recorded that “it is not good for...
  9. Determinantor

    Adai figo yake baada ya "kumwagwa" na My Wife Wake

    Kama kuna watu ni kauzu basi huyu nimemkubali! Baada ya kuachana na mke wake kwa talaka hii Njemba imedai kuwa irejeshewe Figo ambayo aliitoa akawekewa aliyekua mke wake huyu. Anasema jamaa anayemchukua basi yeye ndio ataoe figo....no free lunch!
  10. M

    How to know if your Wife is sleeping with other Men

    For you to know your woman is sleeping with another man is a thing you need to dig deep to know. You need sufficient and strong evidence to prove this. A lady can keep a secret for a very long time especially when she is cheating. The reason for that is that people, in general, are very bad...
  11. Komeo Lachuma

    Msaada: Nimepatwa na changamoto kwa "Wife" na huyu dada

    Nimeyumba kidogo kiuchumi toka mwezi wa 1. Kutokana na Corona na sehemu nyingi duniani kuyumba kiuchumi pia. Binafsi huwa nanunua kila kitu mwisho wa mwezi na kuweka nyumbani, kila kitu kwa maana ya kwamba hata ikitokea mwezi mzima tukaamua kukaa ndani bila kutoka tutaishi vizuri tu. Pia...
  12. Mwananchi B

    Leo kidogo nikamatike na Wife kwa uongo wa kizembe kabisa

    Salaam Wakuu. Daaah Ha ha ha ha, ngoja nicheke Kwanza. Uongo sio mzuri wakuu ha ha ha ha. Uandishi wangu sio mzuri ila tuvumiliane. Ilikuwa hivi mwezi Kama Mmoja uliopita Mimi na wife tulipata ka plot tukakapenda Sasa tukakubaliana na mmiliki ambae alikuwa mkoa B, pale eneo la tukio...
  13. Komeo Lachuma

    Siku ambayo wife alinipa kipigo cha paka mwizi...

    Pale ofisini kuna dada mmoja mashallah huwa analeta chakula. Kaumbika sana yule, chakula anachokuletea hata akizidisha pilipili kama yupo mbele yako huwezi pata ujasiri au nguvu ya kumkosoa; utakiona sawa tu. Nilichukua namba yake tuwe tunawasiliana nimwagize chakula ntakacho. Mtoto wa kizigua...
  14. M

    The ten (10) qualities of the Wife Material every man desire ...

    Searching for a rundown of extraordinary spouse characteristics? Possibly you're a young lady who needs to encapsulate these characteristics for your beau, or perhaps you're a sweetheart prepared to move onto something genuine. You might've discovered this page by needing to comprehend what to...
  15. funzadume

    Nataka nimnunulie wife Nissan Dualis

    Wataalam wa hizi kazi nataka nimchukulie wife Nissan Dualis baada ya kukaa sana kwenye Toyota. Je, wajuvi mnasemaje kuhusu uimara na ubora au udhaifu wa hizo gari?
  16. BABU KIDUDE

    Najiuliza nilikosea kumuoa wife au ni tamaa au labda shetani?

    Ndugu zangu, Wife bana kajifungua kama mwezi hivi, tunashukuru sana kwa Mungu mtoto wa 2 sasa. Safari hii tofauti na mwanzo kajifungulia hapa hapa na tukiwa tushaamia mjengoni nje ya jiji hukoo sijui. Kama ilivyo kawaida japo tuna Dada wa kazi lazima tupate mtu wakukaa na Mzazi hapo ndo...
  17. mathsjery

    Angalia huyu mwanamke

    Wanawake wengi wanataka wanaume ambao tayari wana kila kitu ili waweze kuingia ndani na kuwa na maisha rahisi, lakini angalia huyu mwanamke.
  18. Sky Eclat

    Immigration officer fired after putting wife on list of terrorists to stop her flying home

    By Steve Doughty for the Daily Mail18:11 30 Jan 2011, updated 18:11 30 Jan 2011 An immigration officer tried to rid himself of his wife by adding her name to a list of terrorist suspects He used his access to security databases to include his wife on a watch list of people banned from...
  19. FRANC THE GREAT

    Mke wa rubani wa ndege ya Ukraine iliyoanguka nchini Iran, alimuonya mumewe kutosafiri siku ile

    Kateryna Gaponenko ambaye ni mke wa rubani wa ndege ya abiria ya Ukraine iliyoanguka muda mchache baada ya kuondoka kutoka uwanja wa ndege mjini Tehran amesema kuwa alimuonya mumewe asisafiri na anaamini ndege hiyo iliangushwa. Kateryna Gaponenko alikiambia kituo cha runinga cha Sky News kuwa...
Back
Top Bottom