wife

A wife is a female partner in a continuing marital relationship.
The term continues to be applied to a woman who has separated from her partner, and ceases to be applied to such a woman only when her marriage has come to an end, following a legally recognized divorce or the death of her spouse. On the death of her partner, a wife is referred to as a widow, but not after she is divorced from her partner.
The rights and obligations of a wife in relation to her partner and her status in the community and in law vary between cultures and have varied over time.

View More On Wikipedia.org
  1. kyagata

    Hii kauli ya mke wangu ina maana gani?

    Hello watanzania wenzangu! Ebana kabla ya kwenda kwenye point naomba nidiklee interest kuwa mimi nimeoa,nina mtoto mmoja and I am responsible father for 100%. Sasa bana, mimi ni mzee wa tungi ingawa sio wale wa kunywa hadi kubebwa,na nakunywa bia tu sio hizi double kick. So last weekend wife...
  2. T

    A 35 yr old brother looking for a wife

    Hello goodpeople. Brother wenu hapa natafuta pumziko la moyo. Nina 35 years Nina watoto wawili( naishi nao) Divorced Nina kwangu pia ni mkristo Natafuta mwananmke mweye sifa hizi Awe mzuri(usiwe mnene) Uwe unajitegemea Usizidi 35 Uwe dar es salaam Dini yoyote tu. Nipo serious drop a PM so...
  3. Chachu Ombara

    Francis Onebe: Businessman faces murder charges over wife’s body found in septic tank

    The Director of Public Prosecutions has preferred murder charges against businessman Francis Onebe after a decomposing body was recovered from the septic tank at their marital home. Onebe in January reported to police about the disappearance of his wife Immaculate Mary Blessing Asio whom he...
  4. K

    Wife alikuwa na maana gani hapa wakuu?

    Habari wakuu? Last weekend nimemuaga wife kuwa nakwenda bar ya jirani hapo kucheck mechi ya Man. U, cha kushangaza wife akanijibu uwasalimie wahudumu (bar maids) wa hiyo bar. Nimemtafakari sana kutaka kujua hilo jibu lake lilikuwa na ujumbe gani kwangu ila sijapata majibu. Kwa wazoefu wa haya...
  5. billcrammer

    Ivi wife material yafaa awee na umbo la aina gani..

    1)Mwenye msabwanda alafu awe medium kiwango 2)mwenye mwili ndogo ana mbsabwanda la kichizii na awe medium 3)mfupi mnono Wakuu wapi ndo sure bet
  6. M

    4 Things to tell your wife or girlfriend during love making

    When you're in a relationship, it's not just love and affection that keeps the connection going. A strong sense of intimacy and connection is required for your relationship to flourish and thrive. One of the variables that might help you improve the level of closeness and intimacy between you...
  7. E

    Blow by blow account on how Kiambu businessman killed his wife

    There was one problem in this seemingly blissful union: Johnathan Mukindi, 42, didn’t want children and Philomena Njeri, 30, became desperate for a family. He never told her he was impotent. They even tried IVF. He knew it wouldn’t work. When she became pregnant, he knew she had a secret lover...
  8. E

    Mume amuua mke wake kwa bunduki yeye pia akijamaliza

    According to a police report on the incident, Jonathan Mukundi Gachunga, who was a licensed firearm holder, is said to have shot his 30-year-old wife in the head before taking his own life using the same weapon. The lifeless bodies of the two were found inside their bedroom which had been...
  9. G.Man

    Kwanini tunaoa so called `Wife materials` lakini bado kwenye ndoa ni majanga?

    Habari wakuu, Rejea mada tajwa. Niseme tu ukweli wanaume wengi wanateseka na ndoa zao (japo wengi hawataki kujionesha), angalia kipindi cha kutaka kuoa huwa tunachagua sanaa. Na formulars tunakuwa nazo kabisa kwamba usioe huyu au yule na tunazingatia, lakini kwenye nyumba hali bado ni tete...
  10. Mwamuzi wa Tanzania

    Mwezi ukiandama mnishtue. Nimekula pesa ya wife ananidai

    Wife ananidai laki 7. Take home yangu haifiki hiyo laki 7. Si mnajua jinsi bank wanavyokaba mpaka penalty. Hawana cha kuruka mwezi, wao kila mwezi wanachukua chao mapema. Mkiuona mwezi nishtueni chap nipunguze laki 5 mbili atanisamehe nikimpa chips chumbani.
  11. Zaburi 23

    Nahisi mke wangu anachepuka

    Kama maada inavyojieleza hapo juu, Nahisi wife anamegwa nje coz kuna mambo anayafanya humu ndani nahisi ipo hivyo. Picha linaanza imefika stage kawa na kiburi nikimwambia kitu anaweza kukujibu staki ikiwa ni moja ya majukumu yake humu ndani so nashindwa kuelewa nini kinasababisha hadi awe hivi...
  12. M

    Nahitaji mke aliye tayari kwa ndoa halali

    Mimi ni Kijana Me Umri 32 Rangi: Mweupe wastan Mwajiriwa wa serikalini pia nimejiajiri Sijawahi oa wala sina mtoto Dini: islam Elimu: Bachelor Degree Height: 5.7 Umbo : wastan si mnene wala mwembama sana Mke anayehitajika Umri:22-29 Itapendeza zaidi kama atakuwa mwembamba wastan Rangi: Mweupe...
  13. Komeo Lachuma

    Nimeshindwa kumuelewa mke wangu, yaani ni kosa kutokutwa na meseji za kucheat?

    Simu yangu kipindi cha nyuma nilikuwa siweki password. Mpaka siku moja nilipoibiwa halafu mwizi akaanza kuomba zitumwe pesa kwenye namba fulani akitumia simu yangu. Hapo nikaona niwe naweka password. But pia kwa sasa hizi simu ni kama laptop. Tunahifadhia docs muhimu n.k. so naweka na pia...
  14. Iheanacho

    Mwezi jana nilitembea na ndugu wa mke wangu ambaye pia kaolewa, alikuwa analipiza kisasi kwa mke wangu

    Habarini wana jamvi. .. Siku chache zilizopita kuna binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoa wa Mara (kaolewa Dar es salaam)alinitumia friend request,nikawa nimeaccept.Basi ikawa kila nikipost picha anacomment ba mdogo umependeza!Basi siku moja nikamchek inbox akajitambulisha yeye anamuita wife...
  15. jerryempire

    Nimemuonesha mke wangu wanawake wanaojiuza ili ajue thamani yake

    Habari, kumekuwa na mijadala mingi sana ya kuhusu ndoa humu ndani na wengi wakiwa wanalalamika kuhusu wake zao kuchapiwa/usaliti/mateso na changamoto mbali mbali za ndoa. Kwa upande wangu, nimeoa mwanamke mzuri i mean kwenye kila sekta tabia sura na hata matendo na tupo kwenye ndoa mwaka wa 5...
  16. Stanboy

    Wife Material Mrembo anahitajika haraka. Ndoa Mwaka huu

    Hello everyone, I am looking for a wife material, mrembo, anayevutia hasa..its my hope that I will meet you here..kama tukimatch vizuri tutafunga ndoa kubwa mwaka huu huu...maana ndoa yangu inasubiriwa na ukoo mzima(serious). Kigezo cha muhimu uwe mzuri maana nikioa sitaki habari za kuchepuka...
  17. K

    Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

    Wakuu kwema? Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyama huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table. Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
  18. Extrovert

    Hivi nani mwingine anakereka na hili swali toka kwa wife?

    "Bebi Leo tunakula nini?" Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu. Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
  19. K

    Wife kanizidi kipato lakini kila wiki lazima aniombe elfu 20 ya kusukia

    Habari wakuu. Mke wangu ni muajiriwa kwenye moja ya entities hapa Tanzania, kipato chake kwa mwezi ni around 1.9m baada ya makato yote ya serikali. Mimi kipato changu ni around 500k kwa mwezi na kiukweli kama mwanaume najitahidi sana pamoja na kipato changu kidogo kuhudumia familia yangu...
  20. J

    Looking for life partner - Wife

    Hi I am Jophy, Christian, 29yrs of age, degree holder and I am at Dodoma doing my staff. I am looking for girlfriend who is not occupied, God fearing woman, Confident very focused and lovely one aged 21-25yrs. I will accept you and wont judge you negatively. Will be happy if you will be from...
Back
Top Bottom