A wife is a female partner in a continuing marital relationship.
The term continues to be applied to a woman who has separated from her partner, and ceases to be applied to such a woman only when her marriage has come to an end, following a legally recognized divorce or the death of her spouse. On the death of her partner, a wife is referred to as a widow, but not after she is divorced from her partner.
The rights and obligations of a wife in relation to her partner and her status in the community and in law vary between cultures and have varied over time.
Kwa ufupi sana.
Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.
Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia...
Hope wazima.
Binti kapata kijana wa 45 muajiriwa ana mke mjamzito na watoto 3 anamjali kwa material yeye, wazazi na ndugu zake shida zao wanatatuliwa.
Yeye ni ps kwa private sector mshahara wake hauzidi laki 2 na yupo tayari kuacha kazi. Anampa muda kuliko mke na watoto na kamuahidi...
Ma legends,
Nimepata changamoto ya kusafiri na huyu wife material!
Changamoto ninayopitia ni kuwa kila tukianza safari ya utalii wa ndani, huwa tunaanza kwa pamoja, kanda ya kaskazini. Tunapotoka kanda ya kaskazini mimi huwa niweke pozi kanda ya ziwa. Hapo nitakaa muda kadhaa nikirukaruka...
Source: African countries to find most beautiful women and good wives - Afrinik
There are a lot of young individuals in Africa, both male and female. There are many stunning women in the black continent who would make wonderful wives. But where can we discover the most attractive spouses and...
Kwa kazi zangu za ukungwi nimechunguza na kujiridhisha kwamba 95% ya wanawake wanene ndiyo wenye tabia na mwenendo mzuri ktk ndoa zao.
Hii imewekwa makusudi na mwenyezi Mungu kama njia ya kuziba mapungufu yao. Kwasabb wanawake wanene asilimia kubwa ni:-
*wavivu wa kunyanduana,
*hawana ashki...
Hbr za leo Wana jforum!!
Natafuta mke,awe
Elimu;diploma and above
Umri:miaka 34 au chini
Dini.mkristo
Kabila: lolote
Nb akiwa na watoto au mgumba ni sifa nyongeza!!
Sifa zangu
Mi Nina watoto wawili
mwajiriwa serikalini
Miaka 35
Dini;mkristo
Kwema waheshimiwa?
Hivi mkeo wa ndoa mnaeishi nae nyumba moja na kulala same bed anapokublock kwenye normal calls or WhatsApp, anakua na maana gani?
NB;Hii kesi ni ya jamaa yangu.
Sababu kubwa ya ugomvi ni baada ya kutoka shambani, nikapitiliza kilabuni.
Nimerudi nipo bwax nikakuta amenuna.
Kwakua alikua hajakula niliamua nimuandalie roast samaki, chips, kachumbari ili ashushie na juice ya matunda mchanganyiko.
Hapa kaisha maliza kula wakuu, ngoja nitoe vyombo...
Last week jamaa angu alikua anaoa,so kwenye sherehe nikachapa tungi sana then nikakamatia mtoto flani wa kike nikaruka nae debe sana, kumbe mle ukumbini wife alikua na makachero wake ambao walimtumia picha za kila tukio nililofanya.
So baada ya kuona picha zangu nimekamatia kiuno cha mtoto wa...
Nahitaji mdada aliye siriasi kabisa na mahitaji ya kuwa mke wa mtu:
Sifa zangu:
Miaka 40
Elimu : shahada ya kwanza
Dini : mkristo ( mkatoliki)
Kazi : mtumishi wa umma pia mjasiriamali
Location : Dar Es salaam
Mchumba awe angalau na sifa hizi
1. Awe mkristo ispokuwa msabatho
2. Umri kuanzia...
Kwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake. Ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu, yaani wife ni kama hanijui vile, hajui nimekula au sijala, toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo, hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu.
Ila...
Russia's president Vladimir Putin was married to former flight attendant and they share two daughters together.
Vladimir Putin tends to keep his personal life away from the spotlight which means not much is known about him, aside from his political life.
The 69yrs old President of Russia was...
Habari wakuu
Wiki iliyopita wife alipata dharura kidogo akaenda kwao kwa ajili ya issue za kifamilia. Sasa huku nyuma aliniacha mimi nikiwa na nywele sehemu za siri nyingi balaa. Nikaona isiwe tabu alivyoondoka nikajifanyia usafi nikajinyoa mwenyewe (ikumbukwe wife huwa anapenda kuninyoa...
Kwema ndugu zangu watanganyika? Kutokana na mimi kupitia changamoto za kifedha kwa sasa, nilimuomba Wife tupunguze gharama za uendeshaji wa maisha yetu kwa kujibana sana, pendekezo langu la kwanza nilipendekeza Wife anyoe nywele zake alizosuka, akajitetea kwamba nywele zake katumia karibia miaka...
Wakuu
Jamaa angu kaniaomba ushauri hapa, ana mchepuko wake una mimba ya miezi mitatu na wife wake nae leo kamwambia ana mimba ya mwezi mmoja.
Yeye amepanga kuwaambia wote watoe hizo mimba.
Me nimemshauri amuache wife wake azae ila mchepuko utoe tu.
Nyie mnampa ushauri gani huyu raia?
Oya, hivi kwa week inatakiwa kugegedana mara ngapi coz naona wife anataka kunifanya kuwa sex machine yake? Yaani kila akigeuka tu anataka mpini hajui kuwa me nakuwa nimechoka sometimes.
Nifanyaje ili kumpunguza speed?
Joséphine, Empress of France
Joséphine de Beauharnais was the first wife of Napoléon I. Married previously to Alexandre de Beauharnais, who was executed during the French Revolution, she and Napoléon were wed in 1796. She had two children from her first marriage, but was unable to provide...
Kwema wakuu?
Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion.
Kwa upande wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.