wimbo wa taifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. evangelical

    Hongera Kidunda Ila Umetuaibisha Kwenye Wimbo wa Taifa

    Huyu Selemani Kidunda kwenye ngumi za leo pale kwenye nyimbo ya taifa ametuaibisha alafu eti ni mwanajeshi,. Jeshini embu angalieni mnavygroom watu wanatuhaibisha sio vizuri kwa kweli Hongera kwa ushindi Selemani Kidunda
  2. N

    Je, kila redio inaruhusiwa kupiga Wimbo wa Taifa?

    Tulipokua shule tulifundishwa kwamba wimbo wa taifa unapigwa tu pale kuna tukio maalumu. Sasa kuna kituo cha radio kila siku asubuhi kinapiga. Je, ni kila radio inaruhusiwa kufanya hivo
  3. K

    Wimbo wa Taifa uwe huu

    Kwasasa Tanzania, zimbabwe na South African tuna nyimbo inafanana🤔
  4. blogger

    Hivi ni nani anachezacheza na tune ya Wimbo wa Taifa?

    Huu unaoimbwa hapa sasa hivi bungeni wanapoahirisha si ninao ujua mimi. Hili taifa bhana. Yani hii tune niliosikia hapa ni ya hovyoo.
  5. kavulata

    Wimbo wa Taifa ufupishwe

    Time management, tuokoe muda wa kuimba wimbo mrefu bila sababu. Afrika (AU) ina wimbo wake, SADC ina wimbo wake na East Africa ina wimbo wake pia hivyo Tanzania hatuna sababu ya kurudia kuimba wimbo wa kuiombea Africa kwenye wimbo wetu. Kufanya hivi ni kurudia bila sababu kile kinachofanywa na...
  6. M

    Ni aibu kwa nchi za Afrika zinazoimba nyimbo za Taifa kwa lugha za kigeni

    Zamani hata kabla ya kuja wageni na dini za kigeni waafrika walimwomba Mungu kwa lugha zao na kulikuwa na matokeo ya haraka sana kuliko sasa katika dini za kigeni. Kuimba wimbo wa taifa kwa Kiingereza au Kireno au Kiarabu au Kifaransa hii ni sawa na kumkosea Mungu heshima, naipongeza Tanzania...
  7. Mathias Byabato

    Frolent Kyombo: Wasiojua vema mashairi ya wimbo wa Taifa na Kiswahili mkoani Kagera wanaambiwa siyo raia wa Tanzania

    Katika mchango wake kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Mbunge wa jimbo la Nkenge (CCM) Frolent Kyombo amelalamikia mateso na adha wanayoipata wakazi wa wilaya za Kyerwa, Karagwe, Missenyi na Ngara katika mkoa wa Kagera kufuatia kuwa mpakani na nchi jirani na kuwa baadhi ya watumishi wa idara...
  8. O

    Wimbo wa taifa enzi ya ukoloni

    Wazee wenzangu tujikumbushe maneno ya wimbo ambayo ndio uliokuwa ukiimbwa hapa Tanganyika GOD SAVE OUR GRACIOUS QUEEN LONG LIVE OUR NOBLE QUEEN, GOD SAVE THE QUEEN. SEND HER VICTORIOUS HAPPY AND GLORIOUS LONG TO REIN OVER US GOD SAVE THE QUEEN Ikiwa yapo maneno nimekosea naomba mwenye kumbu...
Back
Top Bottom