Huyu Selemani Kidunda kwenye ngumi za leo pale kwenye nyimbo ya taifa ametuaibisha alafu eti ni mwanajeshi,.
Jeshini embu angalieni mnavygroom watu wanatuhaibisha sio vizuri kwa kweli
Hongera kwa ushindi Selemani Kidunda
Tulipokua shule tulifundishwa kwamba wimbo wa taifa unapigwa tu pale kuna tukio maalumu.
Sasa kuna kituo cha radio kila siku asubuhi kinapiga.
Je, ni kila radio inaruhusiwa kufanya hivo
Time management, tuokoe muda wa kuimba wimbo mrefu bila sababu.
Afrika (AU) ina wimbo wake, SADC ina wimbo wake na East Africa ina wimbo wake pia hivyo Tanzania hatuna sababu ya kurudia kuimba wimbo wa kuiombea Africa kwenye wimbo wetu.
Kufanya hivi ni kurudia bila sababu kile kinachofanywa na...
Zamani hata kabla ya kuja wageni na dini za kigeni waafrika walimwomba Mungu kwa lugha zao na kulikuwa na matokeo ya haraka sana kuliko sasa katika dini za kigeni.
Kuimba wimbo wa taifa kwa Kiingereza au Kireno au Kiarabu au Kifaransa hii ni sawa na kumkosea Mungu heshima, naipongeza Tanzania...
Katika mchango wake kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Mbunge wa jimbo la Nkenge (CCM) Frolent Kyombo amelalamikia mateso na adha wanayoipata wakazi wa wilaya za Kyerwa, Karagwe, Missenyi na Ngara katika mkoa wa Kagera kufuatia kuwa mpakani na nchi jirani na kuwa baadhi ya watumishi wa idara...
Wazee wenzangu tujikumbushe maneno ya wimbo ambayo ndio uliokuwa ukiimbwa hapa Tanganyika
GOD SAVE OUR GRACIOUS QUEEN
LONG LIVE OUR NOBLE QUEEN,
GOD SAVE THE QUEEN.
SEND HER VICTORIOUS HAPPY AND GLORIOUS LONG TO REIN
OVER US GOD SAVE THE QUEEN
Ikiwa yapo maneno nimekosea naomba mwenye kumbu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.