wizi mita za maji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    KERO SOUWASA (Ruvuma) toeni neno kuhusu ongezeko la wizi wa Mita za Maji, au kuna michezo inaendelea ili tununue Mita Mpya?

    Huku kwetu katika mitaa ya Manispaa ya Songea kuna wimbi la wizi wa Mita za Maji na kila aliyeibiwa anatakiwa kulipia Sh elfu 45 ili aweze kufungiwa mita nyingine. Tunajiuliza huu ni mchezo ambao tunachezewa na baadhi ya watu wasiowaaminifu kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira...
  2. A

    KERO Wizi wa mita za maji washamiri Mbweni Teta, DAWASA wapo kimya

    Kumekuwa na wizi wa mita za maji maeneo ya Mbweni Teta kwa kasi sana na hakuna jitihada yoyote ya uchunguzi inayofanyika na DAWASA. Pia soma ~ Albert Chalamila: Sijaridhishwa na hiki mlichofanya DAWASA, pia wanaoiba Mita za Maji washughulikiwe
Back
Top Bottom