Kesi dhidi ya aliyekuwa Mama wa Taifa wa Zambia Esther Lungu, mke wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Edgar Lungu, imeanza mjini Lusaka.
Anashitakiwa kwa tuhuma za wizi wa magari matatu, wizi wa hatimiliki ya mali huko Lusaka na kupatikana na $400,000 zinazodaiwa kuwa mapato ya uhalifu.
Anakabiliwa...