Dear Team,
Introduction:
Nimefika kwenye slub stage ili niendelee na floor ya kwanza,
What do I need? Ninahitaji kupunguza gharama za materials kwa kupata twiga cement 42.5 (200 bags) direct from kiwandani pale wazo hill hivyo naomba yoyote mwenye kuweza kunisaidia hili nahitaji bags 200...
Tanzania continues to show strong commitment to its grand $14 billion, 1,800km standard gauge railway (SGR) project. According to recent reports, the government is pushing forward with the Tabora-Gitega and Isaka-Kigali phases, connecting the infrastructure with Burundi and Rwanda, respectively...
Karibu ujipatie sandwich tamu kabisa kwa ajili ya nyumbani, sherehe, harusi na kazini. Tunachukua orders ya mapishi pia kwa ajili ya snacks za aina zote.
Three Chinese firms have won a Sh15.87 billion tender to construct the Kisumu-Chemelil-Muhoroni road in a move set to open up the region.
The Kenya National Highways Authority (KeNHA) deputy director for corporate communication Samwel Kumba, said the State corporation awarded the contract to...
Kenya will begin rehabilitating the 127-kilometre Voi-Taveta metre gauge railway line to serve the Kenya Ports Authority’s inland container depot at Taveta on the border with Tanzania.
Kenya’s Planning Principal Secretary Saitoti Torome said plans to refurbish the old line were complete and...
Hello everyone it’s been a while ! Where i am right now is 01:25 am. I am unable to sleep! Thousand thought in my mind.
Straight to the point , I work for a very big NGO , the pay is good and I love what I do. The challenge is the work environment is toxic! Toxic co workers . I work at a new...
Wiper leader Kalonzo Musyoka has said that he is ready to work with ODM leader Raila Odinga again.
The Wiper leader stirred the political scene, insisting he now wants Raila to honour a 2017 pre-election deal with him.
Speaking on Tuesday at the Kalonzo Musyoka Command Centre, Kalonzo said...
ABOUT GEITA GOLD MINING LTD
Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation in Geita Region. The company is a subsidiary of AngloGold Ashanti, an international gold producer headquartered in South Africa, with operations in more than ten countries, in...
Wadau nauliza kati ya hizo mbili ni ipi ina uwanja mpana zaidi wa fursa? Au kama kuna nyingine bora zaidi ya Social science nayo pia unaweza kutushirikisha
Karibuni
Tanzania tuna ajira chache Sana zilizobaki Mana serikali haijaajiri mda mrefu Sasa kinachonisikitisa na hawa waganda na wakenya wanafundisha mashule hapa tz na wamekuja kwa wingi Sana hawana hata working permit.
Wamiliki wa shule za private wameamua kuajiri hao kwa sababu ya kingereza tu. Sasa...
I told my son "you will marry the girl i choose" he say "NO"
I told him "she is Bill Gates' daughter" he said "OK"
I called Bill Gates and said " I want your daughter to marry my son"
Bill Gates said "No"
I told Bill Gates "my son is the CEO of world bank"
Bill Gates said "OK"
I called the...
Kama ulitaka kujua masomo ambayo yanafundishwa kwenye shule za international. Hapa ntakuonesha masomo yote na topics mbali mbali wanazojifunza. Ili wewe kama mwanafunzi ujue masomo ambayo ungejiendeleza kujifunza. Ata ukiwa mtandaoni, maana dunia ya sasa unaweza ukajifunza kitu chochote kwa...
Habari za mida hii wanajamvi
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.Mimi ni muhitimu wa chuo na nina digrii ya utawala wa fedha na uhasibu.
What I Have:
√Knowledge
I have broad kwoledge of preparing and presenting financial report.
√Skills
Financial reporting...
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
TAMKO LETU KUFUATIA JESHI LA POLISI NCHINI KUWASHIKILIA VIONGOZI WA CHADEMA
Shura ya Maimamu Tanzania tumefuatilia kwa kina tukio la Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendrleo CHADEMA. Tumejiridhisha tukio hilo ni ukandamizaji wa...
Mbezi, Dar Es Salaam ---- Are you seduced by products that claim to enlarge the male genital? Discover the truth about male enhancement pills, pumps, exercises, and surgeries.
The commercialization of male genital enlargement products and procedures is all around us. It is no surprise to learn...
Salaam Wakuu,
Natafuta fundi wa form work, ninakaproject kangu kadogo, inaweza ikawa ni kazi ya siku tatu hadi nne, Ninalipa sh.40,000 kwa Siku, kazi ipo maeneo ya Kinyerezi mwisho.
Kama upo interested please call or text me 0783011848
Kama kichwa kinavyo jieleza
Namtafutia mwanafunzi wa Social work mahali pa kufanyia mazoezi ya vitendo.
Nimeandaa shilingi laki moja (100,000 Tsh) kwa atakaye fanikisha.
Ahsanteni
Habari za leo ndugu zangu,
Kabla ya yote naomba nitangulize shukrani zangu za dhati kwenu nyote ndugu zangu wana JamiiForums.
Nimeandika huu uzi kwenu kuomba mnijuze orodha ya NGOs za Social work (kazi za Jamii) zilizopo Dar es Salaam.
Naheshimu mchango wenu
WWF Tanzania Arusha office through its TNRF/ WWF implement and supported by BMZ Programme is seeking to recruit an engineer consultant to supervise its construction works in the Northern part of TanzaniaDetails are in the attached ToR
WWF Tanzania Arusha office through its TNRF/ WWF implement...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.