Kwa mujibu wa Tathmini mpya ya athari za kiuchumi za vita ya Urusi na Ukraine, Uchumi wa Ukraine unatarajiwa kuporomoka kwa 45.1% Mwaka 2022
Tathmini hiyo ya Benki ya Dunia (WB) inasema uvamizi wa Urusi umelazimisha biashara kufunga, kupunguza mauzo ya nje na kuharibu mifumo ya uzalishaji...
Katika pekua pekua zangu, inaelekea kuwa Benki ya Dunia imesahau kuiweka Tanzania kwenye orodha ya low income countries. Yaani kwenye low income countries duniani hatuonekani na huko kwenye middle income countries nako hatuko. Sasa tutakuwa tuko wapi duniani? Mwenye kulijua hili atujuze.
---...
Ukiona World Bank wananunua hisa za Equity bank ujuwe kwamba wao wameona Equity bank ina future nzuri. Britam insurance ilinunua shares za Equity zamani sana wakati bado Equity ilikuwa kampuni ndogo. Britam imeuza 6.7% ya shares ya Equity kwa IFC ambayo ni taasisi ya World Bank na kulipwa ksh 13...
Job #:
req16704
Organization:
World Bank
Sector:
Transportation
Grade:
GG
Term Duration:
4 years 0 months
Recruitment Type:
International Recruitment
Location:
Dar Es Salaam,Tanzania
Required Language(s):
English
Preferred Language(s):
Closing Date:
4/8/2022 (MM/DD/YYYY) at...
Job #:
req16582
Organization:
World Bank
Sector:
General Services
Grade:
GF
Term Duration:
3 years 0 months
Recruitment Type:
Local Recruitment
Location:
Dar es Salaam, Tanzania
Required Language(s):
English
Preferred Language(s):
Closing Date:
4/2/2022 (MM/DD/YYYY) at 11:59pm...
More than 250,000 small and medium enterprises in the country are set to benefit from World Bank’s financing this year to help them recover from the impact of the Covid-19 pandemic.
The funds issued under the global bank’s International Development Association (IDA) are expected to address...
United Republic of Tanzania bado haijafika kiwango cha kuwa nchi yenye uchumi wa kati a.k.a Middle Income Country (MIC). Nchi ya Tanzania bado iko katika kundi la Least Developed Countries almaarufu LDC.
Haya ni kulingana na World Bank na United Nations mashirika ambayo huhusika katika...
WASHINGTON, December 21, 2021—The World Bank Board of Executive Directors has approved new International Development Association (IDA)* financing for Tanzania that will strengthen the national land administration system and increase tenure security for at least two million land holders, users...
Leo nchi yetu tumepata mkopo wa 1.3 trilioni kutoka IMF (International Monetary Fund) tumefurahia sana watanzania na kupongeza sana kwa hatua hii
Lakini ukifuatilia sana mikopo hii, ambayo mabeberu wanasema eti ni mikopo ya masharti nafuu (concession loan) kutoka kwenye hizo taasisi za...
Receptionist – Tanzania
Job #:
req13440
Organization:
World Bank
Sector:
Administration/Office Support
Grade:
GA
Term Duration:
3 years 0 months
Recruitment Type:
Local Recruitment
Location:
Dar Es Salaam,Tanzania
Required Language(s):
English
Preferred Language(s):
Closing...
Tanzania seeks World Bank support for Covid effort, balance of payments
SATURDAY OCTOBER 02 2021
Summary
In a meeting in Dodoma September 28, President Samia Suluhu held talks with the World Bank’s Regional Vice President for Eastern and Southern Africa, Hafez Ghanem, and discussed her...
Hali ni mbaya sana mitaani na anayebisha akapimwe akili, kwa sasa, wapo wananchi wanaoshindia mkate wa bakhalesa, wapo ambao siku inaweza kupita bila kula kabisa, nina uhakika na hilo, na katika hilo, niseme kwamba, hakuna nchi yenye watu wavumilivu kama Watanzania, si kwenye mambo ya kisiasa...
Masaa machache baada ya Rais Samia kuhutubia UN Gen Assembly huko New York Marekani na kurejea nchini || Sasa rasmi Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27|28|09|2021.
____________________________________________
Makamu wa Rais wa benki ya dunia anayeshughulikia Ukanda huu wa Mashariki...
Kwa wale waliosoma issue za uchumi wajaribu kunielewesha ni kipi kitatokea endapo taasisi tajwa hapo juu zitafilisika ghafla
Je, ni kipi tufanye sisi raia wa kawaida kujiandaa na matokeo ya kufilisika kwa mashirika tajwa hapo juu.
Halafu je mpaka sasa korona hajaweza kuzitia misukosuko ya...
WASHINGTON D.C. May 27, 2021 –To help improve rural road access and employment opportunities, strengthen the learning environment and alignment of priority education programs with the labor market at selected higher education institutions, and increase access to high quality broadband internet...
Report mpya ya world bank inasema Kenya yaongoza katika nchi zenye ufukara wa kutisha, huku ikibainisha kwamba zaidi ya 50% ya wakenya wote wanaishi kwenye umaskini wa kutosha.
Report inaenda mbele zaidi na kudai hata Zimbabwe ina hafueni ukilinganisha na aina ya ufukara unaopatikana Kenya...
The World Bank (WB) is currently working on approving five projects valued at $1.15 billion (about Sh2.6 trillion) for Tanzania, the State House said yesterday.
A press statement from the State House in Dodoma said yesterday that the revelation came during a meeting between President Samia...
Social Development Specialist
Job #: req10814
Organization: World Bank
Sector: Social Development
Grade: GF
Term Duration: 3 years 0 months
Recruitment Type: Local Recruitment
Location: Dar Es Salaam, Tanzania
Required Language(s): English
Preferred Language(s): Kiswahili
Description...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.