yafuatayo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    Documentary ya Yanga SC itakayozinduliwa Augosti 7, 2023 nitaipenda tu ikiwa na matukio yafuatayo

    1. Yanga SC Kufungwa Goli 5 kwa 0 na Simba SC 2. Yanga SC Kufungwa Goli 4 kwa 1 na Simba SC 3. Yanga SC Kuukosa Ubingwa wa Ligi Kuu kwa miaka Minne mfululizo 4. Yanga SC Kushindwa Kesi na Wakili wa Kujitegemea Raia wa Ghana Bernard Morrison alipohamia kwa Wenye Akili Kubwa nchini Simba SC 5...
  2. GENTAMYCINE

    Simba SC acheni Kutuzuga kuhusu Kuumia kwa Kipa Mbrazili Jefferson Luis Mabingwa wa Uchunguzi tumegundua yafuatayo....

    #1. Mmesikia kuwa Klabu ya Yanga SC muda wowote jnaenda Kuishtaki TFF huko FIFA kwa Kumruhusu Mchezaji anayecheza Ligi Daraja la Nne kuja Kucheza Ligi Kuu ya NBC kinyume na Kanuni. #2. Mchezaji Peter Banda kawashika pabaya Kimkataba na kakataa Kuondoka Simba SC na kwamba akiondoka Simba SC...
  3. GENTAMYCINE

    Ikitokea DP World wakachoka na Upuuzi wetu na kuhamia Kenya, nisisikie Malalamiko haya kwani 'Nitapiga' Mtu

    1. Vyuma vimekaza ( Pesa hakuna ) 2. Ajira hakuna 3. Rais Samia hafai 4. Uchumi wa nchi Unaanguka 5. CCM haifai 6. Hatuvutii Uwekezaji 7. Nchi inachelewa Kimaendeleo Mpuuzi yoyote nikimsikia akiyasema haya Saba ( 7 ) niliyoyataja hapa juu kama DP World wakichoka na Makelele yetu ya...
  4. Equation x

    Dereva makini, fanya yafuatayo

    Dereva makini unatakiwa kabla ya kuliondosha au kuwasha gari lako ufanye mambo haya:- Ufanye ukaguzi wa nje ya gari Matairi kama yote ni mazima, hakuna sehemu iliyotuna Taa zote kama zinawaka(taa kubwa, indicator, reverse, hazard, break) Ukaguzi wa boneti Maji ya radiator Maji ya wiper Oil...
  5. GENTAMYCINE

    Yafuatayo ni majibu kwanini Simba SC inaenda Uturuki kwa Pre Season na haibaki Dar es Salaam kama Wengine?

    1. Simba SC ina Hela na haitegemei Kuuza Jezi ndiyo isafiri 2. Timu inayoshiriki African Super League lazima iwe tofauti na Wengine. 3. Timu inayoshika namba 9 kwa Ubora Afrika lazima Maandalizi yake nayo yawe ni makubwa makubwa. 4. Wachezaji wa Simba SC wana Hadhi ya Uturuki na Ulaya na siyo...
  6. Bemendazole

    Napendekeza tulimalize suala la bandari kwa kufanya yafuatayo

    Kwa heshima na taadhima, napenda kuwashukuru wote mliochangia mijadala mbali mbali ya kuhusu ukodishwaji wa sehemu ya bandari kwa kuwa nyote mlikuwa na nia njema ya kujenga na kulinda rasilimali za taifa letu. Lakini katika kutekeleza hili, kulionekana mapungufu mbali mbali kama yalivyo ainishwa...
  7. Meneja Wa Makampuni

    Baada ya kukua nimejifunza yafuatayo kuhusu siasa za Tanzania

    1. Viongozi wote wa tume ya uchaguzi wanatakiwa wachaguliwe na wananchi na wasiwe na chama chochote wala wasihudhurie vikao vya chama chochote wao wafanye kazi yao. Hivyo wajitokeze watu kadhaa kuwania nafasi hizo kisha wapigiwe kura. 2. Spika wa bunge na naibu spika wanatakiwa wachaguliwe na...
  8. R

    Basi mkikutana na vijana wa aina hii muwakumbushe mambo haya Matatu

    Haya mambo matatu ni ya muhimu sana kwa vijana waliopo kwenye siasa 1. Kuna maisha baada ya Cheo /siasa. 2. Siasa haina rafiki au adui wa kudumu bali kinachoangaliwa ni maslahi . 3. Siasa ni mchezo mchafu waachwe wanao uweza waucheze. Mwisho huyu mwanaharakati akumbushwe ni bora ajifunze kwa...
  9. H

    Yafuatayo yatafanyika Simba SC kuelekea Msimu wa 2023/2024

    Kichwa cha habari chahusika. Baada ya kusuasua kwa misimu miwili ni dhahiri sasa kuna mabadiliko yafuatayo yatafanyika Simba SC: 1. Fred Nganjiro (Vunjabei) hataendelea kuwa kit supplier wa Simba. Itapewa kampuni ya nje ya nchi (hasa Afrika kusini) au ndugu yetu mmoja atachukua tender. 2...
  10. Artifact Collector

    Mapendekezo: Serikali iruhusu uraia pacha kwa kuzingatia masharti yafuatayo

    Serekali iruhusu uraia wa nchi mbili kwa sababu unafaida nyingi sana, ila usingatie vegezo vifuatavyo ambavyo vigeuzwe kuwa sheria Ukiwa raia wa nchi mbili hutakiwi kugombea urais Ukiwa raia wa nchi mbili hutakiwi kugombea ubunge, udiwani, na uenyekiti wa mtaa Ukiwa raia wa nchi mbili hutakiwi...
  11. MSONGA The Consultant

    Unataka Pendekezo lako la Mradi lifanikiwe? Zingatia yafuatayo

    Pendekezo la Mradi yaani "Grant/Business Proposal" ni andiko linaloonyesha hitaji (need), fursa (opportunity), au tatizo (problem) lenye kuhitaji kuchuliwa hatua. Mmiliki wa tatizo, fursa au hitaji anaweza kuwa Taasisi, Kampuni, Jamii au hata mtu mmoja mmoja. Kupitia Pendekezo la Mradi...
  12. K

    Kama ningepata fursa leo ya kuonana na Rais ningemwambia yafuatayo

    Kama siku ya leo ningepata bahati ya kuonana na Mhe. Rais na kupata fursa ya kuzungumza naye, ningemwambia yafuatayo: Kwanza, ningemshukuru kwa kutoa ajira nyingi sana kwenye kada ya Afya na Ualimu lakini panatakiwa pawepo na mchakato rasmi ili kuondoa upendeleo. Ningemshauri pawepo hata na...
  13. GENTAMYCINE

    Yafuatayo yafanyike Simba SC kuelekea 'Derby' yetu na Wao Jumapili tarehe 16 April, 2023

    1. Wachezaji wote wa Simba SC wapokonywe Simu zao. 2. Timu iweke Kambi sehemu ya Siri mno na Waandishi wa Habari wasiruhusiwe kufika. 3. Wachezaji wote wa Simba SC, Benchi la Ufundi na wale Makomandoo (watu wa maandalizi na kamati za kimkakati) walishwe Yamini ya Kiapo na Uaminifu. 4...
  14. kagoshima

    Tuna namna moja tu ya kudhibiti utendaji mbovu wa watumishi wa mahospitalini na kwenye taasis zingine

    Nitolee mfano Morogoro referral hospital, utendaji wa madaktari na wauguzi ni mbovu sana. Rushwa, neglegence, wizi wa dawa, impolite languages za wauguzi na baadhi ya madaktari, yaani vurugu tupu kwenye hospital iliyo katikati ya jiji morogoro. Kwavile mfumo wa opras wa kutathimini utendaji wa...
  15. GENTAMYCINE

    Wazungu ninaowajua Mimi ukiona wanakusifia Mwafrika jua yafuatayo...

    1. Wewe ni Empty Set 2. Wameshakudharau 3. Wanakusanifu 4. Wanafaidika nawe 5. Wamekutega na Umetegeka 6. Watapenda usiishie tu Kuwakaribisha Sebuleni Kwako bali watapenda hadi Chumbani ( Bedroom ) Kwako waingie. 7. Watakuambukiza Laana na Dhambi isiyosamehewa Mbinguni Kwake Mwenyezi Mungu...
  16. karv

    Kabla hujaanza kulima, mkulima hebu zingati yafuatayo

    1)Eneo shamba lilipo Kabla hujaanza kulima zao lolote, hebu kwanza angalia mahala shamba lako liipo. Je linafaa kwa kilimo au kulima zao ambalo unataka kulilima. Katika eneo lako hebu zingatia yafuatayo:- Aina ya udongo sio kila udongo una uwezo wa kusapoti kila aina ya zao lililopo shambani...
  17. GENTAMYCINE

    Huyu Mgeni Maajabu Saba Kipindi cha Mazungumzo ya Familia Radio One adhibitiwe kwa Mapungufu yake yafuatayo

    1. Kupenda kutamka kila mara ( kuwaita Watu ) Wajinga. 2. Kupenda kutumia Maneno ya Kiarabu / Kiislamu Redioni kwani hasikilizwi na Waislamu wenzake pekee. 3. Aache Dharau 4. Aache Ujivuni 5. Aache kudhani kila ambaye bado hajafanikiwa Kimaisha kajitakia au ni Mjinga. 6. Apunguze Sifa zake...
  18. GENTAMYCINE

    Yafuatayo ndiyo Mafanikio ya Miaka Miwili ya yatakayomhusu au Kujihisi tu

    1. Taabu / Shida Kuongezeka 2. Nidhamu ya Kiutendaji kushuka 3. Rushwa na Ushirikina Kushamiri 4. Upumbavu ( Upopoma ) wa Watu kuongezeka maradufu he 5. Unafiki kushamiri 6. Uhalifu kuota Mizizi 7. Kujipendekeza ( Uchawa ) na Ushoga Kuongezeka Na wala huu Mchezo hauhitaji Hasira hata kidogo...
  19. GENTAMYCINE

    Kwanini Mahawara wengi uliowazuia Kukupigia Simu Usiku ukiwa na Mkeo wakipiga na ukiwahoji wanakupa majibu yafuatayo?

    Ni Hawara yako (Demu wako) kabisa (japo una Mke) na Umeshamjulisha na Kumkataza kabisa asiwe anakupigia Simu Usiku ukiwa Kwako na Mkeo na ikitokea akakiuka Makubaliano na Masharti yako na akapiga ukija Kumhoji Kesho yake atakuambia (atakujibu) ama Simu ilijipiga au Mtoto aliichezea. Ni kwanini...
  20. GENTAMYCINE

    CDF General Mkunda naomba Interview ya Mazoezi yafuatayo itumike kwa Vijana watakaoomba Ajira zenu Mpya JWTZ

    Na nakuomba CDF Jenerali Mkunda kama Waombaji Ajira Wote katika Tangazo lenu wakiyashindwa haya Mazoezi yafuatayo muachane nao na mbaki na wale tu Watakaoweza ( walio Fiti ) kabisa 1. Wakimbie kwa Kuuzunguka Uwanja wa Mkapa mara 75 kwa Spidi kama za Winga teleza wa Yanga SC Tuisila Kisinda. 2...
Back
Top Bottom