yapanda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bei ya mafuta yapanda maradufu. Petroli bei yaongezeka kwa kati ya Tsh. 100 - 321

    Wakati Serikali ikitangaza kurejesha Sh100 katika mafuta, watumiaji wa nishati hiyo watalazimika kufunga mkanda kutokana na bei kuendelea kupaa. Bei ya nishati hiyo inapanda wakati wananchi wakilalamika kupaa kwa bei za bidhaa mbalimbali za vyakula hasa wakati huu wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani...
  2. Vikwazo kwa Urusi; Sarafu ya ruble ya Urusi yapanda thamani dhidi ya dola ya Marekani

    VIKWAZO KWA URUSI;SARAFU YA RUBLE YA URUSI YAPANDA THAMANI DHIDI YA DOLA YA MAREKANI. Leo 15:30pm 27/03/2022 Respect for Russia,who dare to stand up against the West,Baada ya vikwazo vingi vya Ulaya na Marekani kwa Urusi,Urusi imetangaza kuuza mafuta na Gesi kwa sarafu yake ya ruble,Masaa 24...
  3. Ligi ya Tanzania yapanda nafasi (9) imekuwa ya 62 duniani kwa ubora

    Shirikisho la kimataifa la historia na takwimu duniani (IFFHS) limetangaza orodha ya ligi kuu bora duniani kwa mwaka 2021 Ambapo Tanzania imepanda kwa nafasi 9 kwa mwaka 2020 ambapo ilishika nafasi ya 71 na imepanda hadi nafasi ya 61 kwa ubora duniani Kwa Africa Tanzania imeshika nafasi ya 10...
  4. Bei ya vyakula mbalimbali yapanda

    Tangu mwishoni mwa Novemba mwaka jana, baada ya gazeti hili kutoa taarifa za kupanda kwa bei ya bidhaa hizo na zile za ujenzi, bei za vyakula zimepanda tena katika mikoa mbalimbali, huku Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe akisisitiza Taifa kutokuwa na uhaba wa chakula, na kwamba ongezeko la sasa la...
  5. Majenereta yapanda bei Kariakoo

    Baada ya Tanesco kutangaza kuanzia February mosi kutakuwa na mgao wa umeme, leo nikaona walau nipite Kariakoo niangalie majenereta ili shughuli zangu za kiuchumi zisije kukwama, nikakuta bei imechangamka sana yaani haishikiki. Wafanyabiashara wametumia fursa ya tangazo la Tanesco, wameamua...
  6. 5

    Boflo yapanda bei Zanzibar

    Watu wa ukumbi huu napenda kuwapa habari tu kuwa mkate maarufu kule Zanzibar unajulikana kwa jina la Mkate wa Boflo sasa umepanda bei kutoka Tshs 200/= hadi Tshs 250/= kwa mkate 1 kwa wale wanaonunua reja reja. Mtakumbuka kwamba Mkate wa boflo kwa maisha ya kule Zanzibar ni mkatae ambao karibu...
  7. Kimbunga Ida: Idadi ya vifo yapanda hadi watu 41 katika majimbo manne ya kaskazini mashariki mwa Marekani

    Baadhi ya wakazi wamekwama katika maeneo ya chini ya nyumba zao yaliyofurika maji pamoja na ndani ya magari yao Rais wa Marekani Joe Biden anasema "uwekezaji wa kihistoria " unahitajika kukabiliana na mzozo wa hali ya hewa, huku maeneo ya kaskazini-magharibi mwa nchi yakikabiliwa na mafuriko...
  8. Dola yapanda, hali ya uchumi ni mbaya

    Wakati serikali ya awamu ya 6 ikiwa haina mkakati wowote madhubuti wa kuimarisha uchumi, dola imeonyesha kupanda na kuwa zaidi ya Tzs 2310. Watanzania tuendelee na drama zetu na matamko, tutakutana mbele ya safari tukiwa hoi
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…