"The Duck Yas-Yas-Yas" or "The Duck's Yas Yas Yas" is a hokum jazz-blues song, originally recorded by James "Stump" Johnson, but the most well known version was recorded by Oliver Cobb and his Rhythm Kings. The song is perhaps best known for the lyrics:
Eti ndugu zanguni YAS?
Mnatufidia vipi sisi wafanyabiashara wenye Lipa namba zenu ambao tumeshindwa kupokea malipo kwa wateja wetu wa mikoani na online?
Fanyeni utaratibu aisee, this is crazy.
Tunaweza kudhani ni coincidence lakini kuna vitu vilo kiroho zaidi
Mtandao wa Tigo ulipata umaarufu hasi baada ya kubadili jina lake la zamani la Buzz lililotoka kubadilisha na Mobitel
Tigo ilifika mahali kulitamka mbele ya watu ilikuwa ni ukakasi kwakuwa lilinasibishwa na kafanya mapenzi...
Habari za mchana huu.
Dah nimelifuatilia tangazo la YAS na MIXX BY YAS. Yaani chini ya sekunde sitini mtu anakupa content ya maana na kueleweka.
Maana mpaka sasa kwa matangazo ya kwetu hasa mitandao ya simu wanatumia wasanii ambapo wakati mwingine mimi naona huwa wanaharibu.
Sasa link yake...
Dar es Salaam, Tanzania – Tigo Tanzania's recent rebranding of its mobile financial services from Tigo Pesa to Mixx by Yas has sparked mixed reactions among Tanzanians. While the company aims to modernize its brand and offer enhanced digital services, many users have expressed dissatisfaction...
Mliposikia Mh. Lissu Rais ajaye wa Tanzania kufungua kesi ng'ambo nanyi mkajiona wajanja mkabadili jina la kampuni.
Sidhani kama mnaweza kuwakimbia wanasheria wabobezi kwa namna hiyo.
Ok yote kwa yote na Mimi laki 8 yenu napita nayo shwaah. Siwezi kumlipa YAS, Mimi simfahamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.