My wishes for you are not limited to just the next year but to all the years that you experience in your lifetime and in your reincarnations!
Have a fun-filled, smashing, rocking and happening New Years!
===
New Year is not about changing the Dates but Direction;
It's not about changing the...
Habari zenu wapendwa watumiaji wa jamii forum.
Nipende kuwatakieni nyote heri ya siku ya kuzaliwa kwa Masihi (Christmas) na heri ya mwaka mpya 2022.
Ibada njema
In the first quarter, uchumi wa Kenya ulikuwa by 0.7%. In the second quarter, uchumi wa Kenya ulikuwa by 10.1%. Kwa hivyo average in the first half of the year inakuwa 5.4%. Officially Kenya is no longer in recession due to two consequtive quarters of growth.
======
Economy rebounds 10.1pc in...
Co-op Bank boss Gideon Muriuki has been named “CEO of the Year” in the 2021 African Banking Awards by the EMEA Finance magazine.
The awards recognise corporate leaders and financial institutions which, through their client focus and sound leadership, continue to increase profitability, deliver...
Undated image of James Karanja during his graduation
TWITTER
FLINDERS UNIVERSITY
A Kenyan student has received international recognition for his outstanding efforts towards creating change for people living with disabilities in Kenya.
James Karanja, a Kenyan student at Flinders University in...
I have been risen from the family where I had neither brother nor sister to ask about the university, from where I need Tsh. 2000/= to travel toward where there were stationeries and internet cafes; with no TV, no Computer, no Smartphone, no Car, no Motorcycle; but blessed with food, shelter and...
l
Larry Shaw mwanzilishi wa Pi Day akiwa ktk exploratorium. Keki maalumu.
Siku ya Pi (π) duniani 3.14, March 14 kila mwaka.
Je ulishawahi kusikia sherehe za Siku ya Pi (π) ? Ikiwa bado, basi wengi wanajua kuhusu siku hii muhimu isipokuwa wewe tu!
Siku ya Pi (Pi Day)...
AWARD
Kenya’s first Leather Park at Kinanie, Machakos County is set to be ready for use by end of this year. Acting Director, at the Directorate of Agro–Industries under the Trade and Industrialisation ministry, Simon Atebe revealed the report and said it will be ready for occupation by December...
Habari za majukumu Wajumbe, baada ya kuwa msomaji wa JF kwa muda sasa, leo nimeona namimi nijiunge rasmi ili kuweza
kuchangia mawazo katika mambo kadha wa kadha, tafadhili naomba upokezi wenu humu.
Mungu awabariki sana.
Habari za Leo wakuu, hii ndio orodha ya washindi walioshinda watapewa tuzo za AFRICAN PERSON OF THE YEAR.
Kabla ya kuweka orodha naomba.
Nitoe pongezi zangu za dhati kwa Rais wangu Mh. Dkt. John Magufuli kwa kukubalika na Watu wote wa bara letu la Afrika na kwa ushindi huu. Umetuwakilisha...
Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura Rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Afrika wa mwaka.
Rais Magufuli anashindanishwa na Marais wa Djibouti, Afrika Kusini, Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora
Japo Magufuli anaongoza...
Habari za mwaka 2021 wadau
Twende kwenye mada, nikiwa somewhere nausubiri mwaka mpya nilipata msala nadhani wengi mnajua maeneo unayoishi mtu lazima kunakuwa na vijana wahuni wanaokaa hapo mtaani, hawa watu wakikuzoea sometime ni shida wanaombaomba usipime kila akikuona iwe baa iwe njiani...
Hawa ni wapambanaji wawili ambao nyota zao zimeng'aa barani Africa kwa harakati zao za kupigania
haki,na demokrasia kwenye nchi zao bila kuchoka licha ya kupitia wakati mgumu lakini hawakukata tamaa hivyo mchango wao umetambuliwa.
The Official Opposition is the African Person of the Year – this...
Habarin wadau
Natafuta hotel au sehemu nzur yenye swimming pools za kuogelea .micheza nk ili nikale huko new year mchana kesho nishinde huko adi usiku
Naish GONGO LA MBOTO tajen sehemu zengine mbali na hz
ANGWISA Mnadan
KAOTA kwa mzungu
MANYOSA Chanika
Natanguliza shukran za dgat pasiwe...
Habarin wadau
Natafuta hotel au sehemu nzur yenye swimming pools za kuogelea .micheza nk ili nikale huko new year mchana kesho nishinde huko adi usiku
Naish GONGO LA MBOTO tajen sehemu zengine mbali na hz
ANGWISA Mnadan
KAOTA kwa mzungu
MANYOSA Chanika
Natanguliza shukran za dgat pasiwe...
Bila shaka tumekuwa na kipindi kizuri cha takribani siku 360. Tumekuwa na tumepitia changamoto nyingi, lakini tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwenye rehema kwa kutuweka tukiwa salama.
Nichukue fursa hii kuwatakia mapumziko mema ya mwisho na mwanzo wa mwaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.