yellow card

  1. S

    Je, ile ilipaswa kuwa ni Red Card au Yellow Card?

    Katiba mchezo wa leo, beki wa Simba aliepwea kadi ya njano alistahili kadi ya njano au kadi nyekundu? Tujadili kwa uwazi na objectively ila hata kesho tuwe na uwezo wa kuhoji pale timu pinzani ikinufaika au kuathiruka na maamuzi kama ya leo.
Back
Top Bottom