Agosti 26, 2012, Mtandao wa Reuters uliripoti kuwa Wizara ya Uchukuzi kupitia Serikali ya Yemen ilianza mawasiliano na Wakala Mwendeshaji wa Bandari anayemilikiwa na Serikali ya Dubai (DP World) ili kuvunja mkataba wa kuendesha Bandari ya Aden.
"Bodi ya Ghuba ya Aden Ports Corp imeamua kufuta...
Hatari sana habari imesomwa kutoka UHAI Tv. Inasikitisha hawa ndugu zetu 80 kutolewa kafara baada ya mfungo. Wamekufa wakikanyagana kugombea misaada ya Eid.
More than 80 people were killed and hundreds injured in a crush at a charity distribution event in war-torn Yemen on Thursday, Huthi officials said after one of the deadliest stampedes in a decade.
The latest tragedy to strike the Arabian Peninsula's poorest country came days ahead of Eid...
Nimewahi kufanya kazi na watu wa jamii hizo mbili na wanaichukia sana hiyo miji iliyopo Saudi Arabia?
Wanasema kwamba Marekani na Israel ndio zilianzisha utaratibu wa kutembelea hiyo miji ili kukuza kipato cha Saudi Arabia na kuunganisha jamii za mashariki ya kati.
Pia wanaeleza utaratibu huo...
Mashirika ya misaada kadhaa ya Umoja wa Mataifa yamesema watu wapatao 160,000 wamo hatarini kukabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula nchini Yemen.
Ripoti ya mashirika hayo juu ya hali hiyo ya kutisha imetolewa kabla ya mkutano wa wafadhili utakaofanyika hapo kesho. Umoja wa Mataifa umetayarisha...
Ripoti mpya ya wataalam wa Umoja wa Mataifa imeeleza kwamba takriban watoto 2,000 waliosajiliwa na waasi wa Kihouthi wa Yemen kuwa wapiganaji, walifariki vitani, kati ya Januari mwaka 2020 na Mei mwaka 2021.
Ripoti imeeleza zaidi kwamba waasi hao wanaoungwa mkono na Iran, wanaendeleza kambi za...
Jamhuri ya Yemen iko Kusini na Kusini Magharibi ya peninsula ya Arabia
Ina idadi ya watu ya milioni kumi na moja na eneo la maili mraba 190,000. Ndio eneo pekee la peninsula hii linalopata mvua za monsuni, na kuifanya sehemu yenye rutba sana na yenye watu wengi.
Mlima mrefu sana wa Arabia...
Zaidi ya watoto 10,000 wameuawa au kujeruhiwa nchini Yemen katika vurugu zinazohusiana na vita vya muda mrefu katika taifa hilo masikini.
Msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na watoto, UNICEF, James Elder, amewaeleza waandishi wa habari kwamba takwimu zilizothibitishwa na Umoja...
Yemeni army soldiers, backed by fighters from allied Popular Committees, have launched a missile strike, targeting arms depots belonging to Saudi-sponsored militants loyal to Yemen's former president Abd Rabbuh Mansur Hadi south of the country’s central province of Ma’rib.
Local sources...
Mkuu wa Shirika la Chakula Duniani, WFP, ametahadharisha kwamba watu milioni 16 nchini Yemen wanaelekea kukabiliwa na ukosefu wa chakula.
Mkuu huyo David Beasley ameongeza kuwa, mgao wa chakula kwa mamilioni ya watu katika nchi hiyo inayokabiliwa na vita utasitishwa mwezi ujao wa Oktoba...
Wakuu nimekutana na hii kitu, majirani zenu na watani wa jadi wamezuiwa kuingia Dubai (UAE)
Africa pia zimo Libya, Tunisia na Somalia.
=====
The United Arab Emirates has stopped issuing new visas to citizens of 13 mostly Muslim-majority countries, including Iran, Syria and Somalia...
Mratibu wa misaada ya kiutu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Yemen, Lise Grande, amesema watu wengi wanauawa kwenye mashambulizi yasiyo na msingi nchini Yemen. Kwa mujibu wa sheria za kimataifa pande hasimu zilizo kwenye mizozo zinatakiwa kutoa kipaumbele katika kuwalinda raia. Grande...
Kiongozi wa Al-Qaeda katika Rasi ya Uarabuni AQAP ameuawa na vikosi vya Jeshi la Marekani. Rais wa Marekani Donald Trump amethibitisha.
Qasim al-Raymi, ambaye ameongoza kundi hilo tangu mwaka 2015, ameuawa katika operesheni ya kijeshi ya Marekani huko Yemen, Ikulu ya White House imeeleza...
Waasi wa Houthi wawashambulia wanajeshi wa serikali wanaosaidiwa na kikosi cha muungano, kwenye mkoa wa Marib na kuwauwa zaidi ya 80 na kuwajeruhi wengine wengi
Zaidi ya wanajeshi 80 wa Yemen wameuwawa na wengine wengi walijeruhiwa kwenye shambulizi la kombora na ndege zisizokuwa na rubani...
Takribani wanajeshi 75 wameuawa kwenye shambulizi la kombora lililorushwa na wanamgambo wa Houthi kwenye msikiti katika jimbo la Marib nchini Yemen.
Vyanzo vimeliambia shirika la habari la AFP kwamba wanamgambo hao waliushambulia msikiti uliopo kwenye kambi ya kijeshi, takriban kilomita 170...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.