Kabla sijaendelea kuna haya maswali
Je, ni kweli Prigozhin kafa?
Je, ni kweli Prigozhin alikuwa kwenye ndege iliyopata ajali?
Je, ni nani kamuua/alitaka kumuua Prigozhin?
Mpaka sasa shutuma zote juu ya kifo cha huyu mbabe wa vita anatupiwa boss wake wa zamani na mshirika wake wa karibu...
Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege
Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege
Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!
Source: Al jazeera
====
Kwa mujibu wa Idara ya Habari ya Urusi (TASS), abiria 10 waliokuwa kwenye Ndege Binafsi wamefariki ambapo inaaminika...
"Nitajibu ni nini msingi wa mabadiliko ya mamlaka nchini Niger. Msingi(tatizo) ni uchumi. Population ya watu wa Niger imekuwa katika umaskini kwa muda mrefu.
Kwa mfano, kampuni ya Ufaransa iliyochimba uranium iliiuza sokoni kwa $218, huku ikilipa Niger $11 pekee . Unaweza kufanya kazi na...
Hii ni historia ya aina yake. Alizaliwa mwaka 1961 huko Leningrad leo hii ikiitwa St.Petersburg, miaka ya 1980 kabla hata hajafikisha miaka 20 akapewa hukumu ya kifungo cha miaka 2 na baadaye 13 jela kwa makosa ya ujambazi lakini akatumikia miaka 9 na kurudi uraiani.
Wakati anatoka jela miaka...
Raisi wa Belarus anasema:
"Nilikuwa nikijaribu kumshawishi [Prigozhin] kwa muda mrefu. Mwishowe nilisema: 'Unajua, unaweza kufanya chochote unachotaka. Lakini usinichukie (kwa nitakacho kifanya ).
Kikosi kimetayarishwa kwa ajili ya kupelekwa Moscow tutaitetea Moscow kama tulivyoifanya mwaka...
Kiongozi wa Wagner, Yevgeny Prigozhin ameweka wazi kuwa hakumlenga Putin alipotangaza kuwa wanajeshi wake wangeandamana mjini Moscow akisema: "Hatukuandamana kuupindua uongozi wa Urusi."
Katika ujumbe wake wa video wa dakika 11, anasema: "Lengo la maandamano hayo lilikuwa kuepusha uharibifu wa...
*zele kama zele anamjambisha mtu mzima *
May 5 (Reuters) - Yevgeny Prigozhin, leader of Russia's Wagner Group mercenary force, said in a sudden and dramatic announcement on Friday that his forces would leave the Ukrainian city of Bakhmut that they have been trying to capture since last summer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.