Habari!
Wajuzi, aisee nimeumiza kichwa mno ili niifahamu code hasa ya wimbo ule wa mtabe Young D.
Miongoni mwa maneno ya wimbo huo ni, '...she is beautiful, siyo mchoyo...'
Nani ameimbiwa? Ni Diva the boss lady? Ni Tanasha Dona?
Huyu queen ambaye anagawa kwa kila mtu ni nani?
Naomba...