young

  1. P

    Senzo aomba kutokuongezewa mkataba wake na Yanga, Akubaliwa ombi lake

    Afisa Mtendaji Mkuu wa Yanga, Bw Senzo Mazingiza ameomba kutokuongezewa mkataba wake na Yanga kwa sababu za kifamilia Kutokana na ombi hilo kamati ya utendaji ya Yanga ilikutana leo katika Hotel ya Serena na kukubali ombi hilo la Bw Senzo Mkataba wa Senzo na Yanga unamalizika tarehe 31/07/2022...
  2. Dong Jin

    Young Africans (Yanga) SC to the world

    Kila pembe ya dunia imeshuhudia hili tukio na kulizungumzia kwa ukubwa wake... Nisiwe na maneno mengi maana maneno bila uthibitisho ni porojo tu. Hebu chekini hapa. Hakika hii ndio klabu kubwa Afrika mashariki na kati, pengine Africa kwa ujumla.... Kongore wananchi..... 💪💪💪
  3. man pog

    Young Lunya kusainiwa Sony

    Hivi mnaonaje kuhusu huyu mwamba Young Lunya kusainiwa Sony music Africa kunaweza kuwa na faida kwake au ndo amepoteza maana kwa kumbukumbu za haraka haraka ni kwamba wasanii wengi wa Tanzania walio sainiwa na label hiyo wengi wamepotea mfano Baraka da prince, Vanessa Mdee, Ommy Dimopzi...
  4. Little brain

    Young Africans 4-0 Mbeya kwanza | Ligi kuu NBC | Benjamin Mkapa

    Mabao ya Mayele, Said Ntibanzokiza ‘Saido’ na Dickson Ambundo yalitosha kuipeleka mapumziko Yanga ikiwa kifua mbele kwa mabao 3-0. ⚽️' 34, F Mayele ⚽️' 39, S Ntibazonkiza ⚽️' 44' D Ambundo. Yanga first eleven Diarra Job Bangala Farid kibwana Sureboy Aucho Saido Moloko Ambundo Mayele...
  5. Papaa Mobimba

    Kasarani man shot dead in broad daylight in front of the young daughter

    • The witness said a man wearing a suit stepped out and shot him four times. • After the first round of shooting, the man went back to his car but came back and shot two more times. Residents of Mirema Drive, off Thika Road, Nairobi, witnessed a shocking incident of a drive-through shooting...
  6. MK254

    Four Kenyans have joined the Young Global leader’s class of 2022

    Four Kenyans are among 109 representatives from across the world that have joined the Young Global leader’s class of 2022. Ms Wanjiru Njiru, founder and executive director of Food 4 Education, Ms Eva Otieno, Africa’s strategist at Standard Chartered bank , Mr Dominic Wadongo, the group head of...
  7. Kurunzi

    Kwanini Mukoko amendoka Young African, wakati bado aiipambania timu kwa hali na mali, huku mashabiki bado tunampenda?

    Ukweli ni kwamba Mukoko ni mchezaji mgumu na anayejituma zaidi uwanjani. Tatizo ni kwamba umiliki wake wa mpira hauko vizuri. Mguso wake wa kwanza wa mpira sio mzuri kulinganisha na Aucho na Bangala. Mbaya zaidi ni kwamba Mauya ni mzuri zaidi katika umiliki wa mpira kuliko Mukoko. Tatizo la...
  8. Daktari wa Manchester

    Happy independence Day to young Africans fans

    Habari za asubuhi Natumaini wote tutakuwa wazima wa afya kabisa kama Kuna mtu anaumwa na mtakia quick recovery katika tatizo Nawatakia happy independence Day 🇹🇿 kwa mana yanga wote tukutane tarehe 11
  9. JAYJAY

    Rapper Young Dolph auawa

    Hii habari ndiyo kwanza nimeiona. Binafsi ni mmoja wa mashabiki wake . Hii habari imeni_pain mno. Hapo kabla alisha_survive matukio mawili ya kupigwa risasi. Hili tukio limetokea jumatano mchana huko Memphis. Alikuwa mtu anayejitolea sana kwa jamii yake huko Memphis. Mwenyezi Amrehemu
  10. Kurunzi

    Yanga 2-0 Azam FC | Ligi kuu | Benjamin Mkapa

    Leo kutakuwa na Mtinange wa Kukata na Shoka kati Yanga na Azam FC, mechi hii itaanza majira ya saa 1:00 usiku Uwanja wa Benjamini Mkapa Tunajua ugumu wa game hii ya leo kizingati timu hizi zinapokutana hupigwa mpira wa nguvu sana. ====== ⚽ 36' Fisto Mayele, Yanga 1-0 Azam ⚽73' Jésus Ducapel...
  11. demigod

    Cha Kujifunza Mwananchi Kutoka Port Harcoat - Rivers United 1 - 0 Young Africans SC

    1. Licha ya usajii mzuri hatukuwa tumeyachukulia serious michuano ya CAF. 2. Mafanikio ya Simba SC ya msimu uliopita yalifanya ionekane ni rahisi zaidi kuweka jitihada zisizo thabiti kufika mbali kwenye michuano ya CAF. 3. Pilika za usajili zilifanya tupoteze focus kwenye kuhakikisha ushiriki...
  12. Mozu1991

    Rivers United vs Young Africans(1-0) | CAFCL

    Habarin wadau, hivi hi mechi kati ya River United na Yanga itaoneshwa chanel gani? ======= Mechi kamishna Sulley Camara kutoka Sierra Leone amewaruhusu Yanga wacheze wote kwa kuwa hakuna cheti kuhalalisha kuwa wamekutwa na corona. Mpira umeanza kati ya Rivers United na Yanga 28' Rivers...
  13. M

    If you don't want to die young then stop these 6 habits that sends men early in their Graves

    Living longer lives has become increasingly rare in recent years, owing to some of the activities we engage in on a daily basis, and this is mostly down to our lifestyle choices. Educating you about many habits that lead to a high mortality rate, especially among young people, is my goal in...
  14. LIKUD

    Karibu Young Africans Haji Sunday

    Simba watasema hili dongo kwa Mwamedi
  15. M

    Simba SC na Dar Young Africans zilipishwe kodi kama wengine

    Najua wengi wataudhika lakini wizara ya fedha chini yabkijana shupavu Waziri Mwigulu Nchemba wawawekee timu hizi 2 utaratibu wa kulipa kodi kama makampuni,mashirika,viwanda n.k kodi haibagui. Kodi sio hiyari ni lazima.Simba na Yanga waajiri wahasibu kama makampuni mengine na wautangazie umma...
  16. Underwood

    New track: SINAGA SWAGGA 5 - Young Killer Msodoki

    Baada ya kukaa kimya kwa kitambo kidogo, yule MC anayefanya 'Hip hop isikilizike' amerudi tena na ngoma mpya ikiwa ni muendelezo wa ngoma pendwa zinazofahamika kama SINAGA SWAGGA. YouTube link 👇👇👇
  17. Meneja Wa Makampuni

    An open letter to all Tanzanian: Stop telling young people to employ themselves instead tell old people to resign and start businesses

    Dear all people of Republic of Tanzania, I greet you by the name of Republic. I'm here by to submit an open letter to you. The purpose of writing this open letter is to ask you; Please! Stop telling young people to employ themselves while they don't have money to start a business instead tell...
  18. Z

    Is it by science or planned: Spanish flue killed more young people; Covid 19 kills more older people

    The 1918 Spanish flue ahead of world war 1 killed more than 50 million people globally .More affected people were young age that older people. To me it brings more questions in my mind why this did happen to weaken the force of young people while the world was suffering from the effects of...
  19. Linguistic

    Young LUNYA

    Wakuu Kumekucha, Kwanini Mistari Mingi ya Young Lunya kwenye nyimbo zake ni Matusi? Huyu Ndio anamfananishwa na late Ngwear kweli?
  20. Shark

    Young African inaweza kucheza Kombe la Shirikisho

    Kwema Wakuu, Utaratibu mpya wa TFF unasema kua endapo mshindi wa Azam Sport Federation Cup maarufu kama FA Cup atakua ndio huyohuyo mshindi wa Vodacom Premier League (Ligi Kuu) basi atakaekua nafasi ya pili VPL ndio ataenda Shirikisho. Ndio kusema kua kama utaratibu huu ungeanza kutumika mwaka...
Back
Top Bottom