Afisa Mtendaji Mkuu wa Yanga, Bw Senzo Mazingiza ameomba kutokuongezewa mkataba wake na Yanga kwa sababu za kifamilia
Kutokana na ombi hilo kamati ya utendaji ya Yanga ilikutana leo katika Hotel ya Serena na kukubali ombi hilo la Bw Senzo
Mkataba wa Senzo na Yanga unamalizika tarehe 31/07/2022...
Kila pembe ya dunia imeshuhudia hili tukio na kulizungumzia kwa ukubwa wake... Nisiwe na maneno mengi maana maneno bila uthibitisho ni porojo tu.
Hebu chekini hapa.
Hakika hii ndio klabu kubwa Afrika mashariki na kati, pengine Africa kwa ujumla....
Kongore wananchi..... 💪💪💪
Hivi mnaonaje kuhusu huyu mwamba Young Lunya kusainiwa Sony music Africa kunaweza kuwa na faida kwake au ndo amepoteza maana kwa kumbukumbu za haraka haraka ni kwamba wasanii wengi wa Tanzania walio sainiwa na label hiyo wengi wamepotea mfano
Baraka da prince,
Vanessa Mdee,
Ommy Dimopzi...
Mabao ya Mayele, Said Ntibanzokiza ‘Saido’ na Dickson Ambundo yalitosha kuipeleka mapumziko Yanga ikiwa kifua mbele kwa mabao 3-0.
⚽️' 34, F Mayele
⚽️' 39, S Ntibazonkiza
⚽️' 44' D Ambundo.
Yanga first eleven
Diarra
Job
Bangala
Farid
kibwana
Sureboy
Aucho
Saido
Moloko
Ambundo
Mayele...
• The witness said a man wearing a suit stepped out and shot him four times.
• After the first round of shooting, the man went back to his car but came back and shot two more times.
Residents of Mirema Drive, off Thika Road, Nairobi, witnessed a shocking incident of a drive-through shooting...
Four Kenyans are among 109 representatives from across the world that have joined the Young Global leader’s class of 2022.
Ms Wanjiru Njiru, founder and executive director of Food 4 Education, Ms Eva Otieno, Africa’s strategist at Standard Chartered bank , Mr Dominic Wadongo, the group head of...
Ukweli ni kwamba Mukoko ni mchezaji mgumu na anayejituma zaidi uwanjani. Tatizo ni kwamba umiliki wake wa mpira hauko vizuri. Mguso wake wa kwanza wa mpira sio mzuri kulinganisha na Aucho na Bangala. Mbaya zaidi ni kwamba Mauya ni mzuri zaidi katika umiliki wa mpira kuliko Mukoko. Tatizo la...
Habari za asubuhi
Natumaini wote tutakuwa wazima wa afya kabisa kama Kuna mtu anaumwa na mtakia quick recovery katika tatizo
Nawatakia happy independence Day 🇹🇿 kwa mana yanga wote tukutane tarehe 11
Hii habari ndiyo kwanza nimeiona. Binafsi ni mmoja wa mashabiki wake .
Hii habari imeni_pain mno. Hapo kabla alisha_survive matukio mawili ya kupigwa risasi. Hili tukio limetokea jumatano mchana huko Memphis. Alikuwa mtu anayejitolea sana kwa jamii yake huko Memphis. Mwenyezi Amrehemu
Leo kutakuwa na Mtinange wa Kukata na Shoka kati Yanga na Azam FC, mechi hii itaanza majira ya saa 1:00 usiku Uwanja wa Benjamini Mkapa
Tunajua ugumu wa game hii ya leo kizingati timu hizi zinapokutana hupigwa mpira wa nguvu sana.
======
⚽ 36' Fisto Mayele, Yanga 1-0 Azam
⚽73' Jésus Ducapel...
1. Licha ya usajii mzuri hatukuwa tumeyachukulia serious michuano ya CAF.
2. Mafanikio ya Simba SC ya msimu uliopita yalifanya ionekane ni rahisi zaidi kuweka jitihada zisizo thabiti kufika mbali kwenye michuano ya CAF.
3. Pilika za usajili zilifanya tupoteze focus kwenye kuhakikisha ushiriki...
Habarin wadau, hivi hi mechi kati ya River United na Yanga itaoneshwa chanel gani?
=======
Mechi kamishna Sulley Camara kutoka Sierra Leone amewaruhusu Yanga wacheze wote kwa kuwa hakuna cheti kuhalalisha kuwa wamekutwa na corona.
Mpira umeanza kati ya Rivers United na Yanga
28' Rivers...
Living longer lives has become increasingly rare in recent years, owing to some of the activities we engage in on a daily basis, and this is mostly down to our lifestyle choices. Educating you about many habits that lead to a high mortality rate, especially among young people, is my goal in...
Najua wengi wataudhika lakini wizara ya fedha chini yabkijana shupavu Waziri Mwigulu Nchemba wawawekee timu hizi 2 utaratibu wa kulipa kodi kama makampuni,mashirika,viwanda n.k kodi haibagui.
Kodi sio hiyari ni lazima.Simba na Yanga waajiri wahasibu kama makampuni mengine na wautangazie umma...
Baada ya kukaa kimya kwa kitambo kidogo, yule MC anayefanya 'Hip hop isikilizike' amerudi tena na ngoma mpya ikiwa ni muendelezo wa ngoma pendwa zinazofahamika kama SINAGA SWAGGA.
YouTube link 👇👇👇
Dear all people of Republic of Tanzania,
I greet you by the name of Republic. I'm here by to submit an open letter to you. The purpose of writing this open letter is to ask you;
Please!
Stop telling young people to employ themselves while they don't have money to start a business instead tell...
The 1918 Spanish flue ahead of world war 1 killed more than 50 million people globally .More affected people were young age that older people. To me it brings more questions in my mind why this did happen to weaken the force of young people while the world was suffering from the effects of...
Kwema Wakuu,
Utaratibu mpya wa TFF unasema kua endapo mshindi wa Azam Sport Federation Cup maarufu kama FA Cup atakua ndio huyohuyo mshindi wa Vodacom Premier League (Ligi Kuu) basi atakaekua nafasi ya pili VPL ndio ataenda Shirikisho.
Ndio kusema kua kama utaratibu huu ungeanza kutumika mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.