Mara ya mwisho nilipanda basi la Tawaqal nikitokea mkoani Ruvuma lakini kwa sasa ni muda mrefu Tawaqal zimeachana na route hiyo.
Nauliza Wahenga wale wa "Watu wa safari" huyu nguli wa barabarani dereva Giriki yuko wapi siku hizi?
Kazi Iendelee
cc: Bujibuji
RAIS John Magufuli amesema sababu kubwa ya kusitishwa kwa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni masharti magumu yaliyomo katika mkataba wa utekelezaji wa kazi hiyo.
Jiwe la msingi la ujenzi wa bandari hiyo liliwekwa na Rais mstaafu Jakaya Kikwete mwaka 2015 na ulitarajiwa kugharimu dola za Marekani...
Huyu ni mmoja wa wanasiasa aliyeongoza kwa kubadilishiwa Wizara karibu tatu katika miaka mitano ya Hayati Magufuli.
Mara ya mwisho kumuona ni kabla ya uchaguzi wa 2020.
Ningependa kujuza alipo kwa sasa anafanya nini?
Pia soma: Nini kinamsibu Waziri Angela Kairuki? Miaka 3 Wizara 3!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.