za kiume

  1. F

    Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

    Nisipoteze muda. Wanaume wanaongoza kwa kuwa na stamina kubwa kitandani na kuridhisha wapenzi wao wapo sita. Unaweza kuongeza wa kwako. Wanaume hao ni 1. Makuli/Wapagazi: Demu wako au mkeo akikutana na kuli, walahi hamwachi, andika maumimivu. Makuli ni Wanaume wabeba mizigo. 2. Wanajeshi...
  2. M

    Je, ni kweli kwamba Siku hizi nchini Tanzania ukitaka tu Bidhaa yako iuzike haraka ukisema inaongeza nguvu za Kiume utauza sana?

    Kuna Matunda ambayo tokea nakua hadi hivi sasa nautafuta Uzee wangu yalikuwa yakidharaulika na hayapendwi kabisa Kuliwa na Watanzania ila cha Kushangaza Siku hizi baadhi ya Wajasiriamali ( Wafanyabiashara ) wakiyaandaa vyema, kuyaweka Sokoni na kusema ( kutangaza ) yanatibu au kuongeza Nguvu za...
  3. D

    Wanaharakati tumieni hekima: Maria Sarungi kulifananisha kanisa katoliki na nyeti za kiume ni dhihaka kwa wakatoliki

    Wanaharakati ! kuweni makini hasa mnapokosoa mambo yenye misingi ya kidini! Wakati serikali ikiendelea kutekeleza majukumu yake kikatiba, kwa kuhakikisha inakusanya kodi kutoka taasisi zote za kibiashara ikiwemo binafsi na zile zinazomilikiwa na makanisa! Wameibuka wanaharakati kuhusisha...
  4. Moto wa volcano

    Biashara za wanawake kujiuza zimehamia kwenye Saloon za kiume

    Juzi Kati baada ya kumaliza mizunguko yangu ya kazi nikaona nitafute Barbershop ya kisasa inayoeleweka nifanye usafi wa ngozi. Mjini Kati nikaona Barbershop matata Full Brand ikabidi nizame ndani nikakutana na vinyozi tukala story mbili tatu baada ya hapo akatokea Dada akanikaribisha katika...
  5. U

    Sandals za kiume

    Mwenye kujua wapi naweza kupata sandals za kiume pure leather na original kwa Dar wapi? Za mitumba au hata dukani. Natanguliza shukrani.
  6. Clever505

    Hii hali niliyonayo ndio inaitwa upungufu wa nguvu za kiume au vipi?

    Mambo vipi wakuu! Mimi ni kijana 26 aged ni mwembamba nina uzito 51kg, kuna kitu kinanitokea najikuta sielewi kabisa ufumbuzi wake naombeni ushauri wenu. Mimi sijaoa ila nina demu wangu ambaye huwa nikinyanduana naye mambo yanaenda poa tu. Tatizo ni kwamba sikai nae sehemu moja mi nipo zenji...
  7. Meneja Wa Makampuni

    Sare za kiume za wanachama wa CHADEMA NA ACT Wazalendo ninyi mnazionaje

    Hivi wakuu hizi sare za kiume za hivi vyama ni nani aliwachagulia. Yaani mkizivaa haziwapendezi hata kidogo yaani. Mlishindwa kuchagua rangi nzuri ya sare kwaajili ya wanachama wenu. Hivi hamwoni aibu kuvaa masale kama ya hayo. Sii bora mngeshona sare hata zinazofanana na jezi za chelse au...
  8. Course Coordinator

    Nguvu za kiume vs Hamu ya tendo

    Wasalam. Mimi sio mtaalam wa Afya wala miti shamba kwa mazingira yetu tunayoishi watanzania wote tumejikuta kwa namna moja au nyingine tunajikuta wote ni wataalamu wa mitishamba hata na Modern medicine. Tatizo la nguvu la nguvu kiumbe limekuwa neno la kawaida kwa sisi wanaume hivyo kupelekea...
  9. RAKI BIG

    Tiba za asili za COVID-19 pia zinaimarisha nguzu za kiume kwa waliokua hatarini kupoteza ndoa zao

    Sasa wakuu mimi binafsi nimeona tiba ya kitunguu swaum , tangawizi malimao yamekuwa mazuri sana kwangu, pia natumia sana habat souda na mrungu rungu katika kujitibu Corona Sasa picha linaanza, kila nikikutana na demu wangu ananiambia mbona sasa show ya kibabe sana? Nikamwambia, kwanini...
  10. Superbug

    Kwanini chupi za kike zinauzwa bei rahisi kuliko za kiume?

    Chupi za kike unapata za bukubuku ila huwezi pata boxa ya buku kwanini? Wafanya biashara mtuambie kwa wastani mwanamke anakuwa na chupi ngapi na wanaume wanakuwa na chupi ngapi hili linakera. Yani boxa zetu zinauzwa ghali mno wakati vichupi vya wadada vinauzwa buku na ukilialia hata jero unauziwa.
  11. Its Pancho

    Wanawake tajeni top 10 ya I'd za kiume zenye majina mazuri...

    Huu ni uzi wenu mtiririke na kuserereka. Mtaje top ten zenu kama sio five ya I'd za wanaume zenye majina matamu kwenu na yanayowavutia... For sure.. Nb nna imani ntakuwa wa kwanza.. 😎😎😎
  12. Erythrocyte

    Ni aibu kwa TBC kutangaza dawa za kuongeza nguvu za kiume zisizothibitishwa

    Hii nimeisikia jana tu tena kwa bahati mbaya sana nikiwa kwenye gari na kwa vile kulikuwa na foleni nikaona ni vema nipate matokeo ya mechi kati ya Yanga na Kagera , nilipigwa na butwaa baada ya kukutana na Tangazo la dawa za nguvu za kiume kutoka Kigogo Mbuyuni ! wanaosikiliza matangazo ya...
  13. M

    UCHUNGUZI: Girlfriend/ Fiancee; Kubana Kushiriki Tendo la Ndoa Kabla ya Ndoa na Madhara yake Hatari kwa Wanaume Kuishiwa Nguvu za Kiume

    Katika hali ilozoeleka kusia kutoka kwa mabinti ama madada zetu pale tunapowachumbia ni ile wao wanaposisitiza kushiriki tendo la ndoa pale tu ndoa itakapokuwa imefungwa. Ndoa haijafungwa no sex! Na hapa na dada zatu hudhani na kuamini kuwa ni kujijengea uaminifu na kutoonekana vitombi au...
  14. M

    Girlfriend Kubana Kushiriki Tendo la Ndoa Kabla ya Ndoa na Madhara yake kwa Wanaume Kuishiwa Nguvu za Kiume

    Katika hali ilozoeleka kusia kutoka kwa mabinti ama madada zetu pale tunapowachumbia ni ile wao wanaposisitiza kushiriki tendo la ndoa pale tu ndoa itakapokuwa imefungwa. Ndoa haijafungwa no sex! Na hapa na dada zatu hudhani na kuamini kuwa ni kujijengea uaminifu na kutoonekana walaini kwa...
  15. Papa Mobimba

    Ujue ukubwa wa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

    Kuna matatizo mengi ya tendo la ndoa ambayo yanaathiri wanawake kwa wanaume. Kwa wanaume inawezekana ikawa ni kukosa hamu ya tendo, upungufu wa nguvu za kiume au kuwahi kufika kileleni. Leo nataka kuzungumzia ukubwa wa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume matatizo mengine nitazungumza katika...
  16. data

    Wanaume wa Dar wana masaibu mengi yanayopelekea upungufu wa nguvu za kiume

    Tusiwacheke..
  17. F

    Je ni kweli kabila hili hukuza maumbile ya siri za kiume kwa mmea huu?

    Halo JF mapenzi. Nina rafiki yangu nesi amekuwa akiwafanyia tohara watu mbalimbali. Sasa juzi kati alitembelea eneo wanaloishi kabila kubwa humu nchini lenye asili ya kanda ya ziwa. Anadai wanaume wa huko hata mtoto wa miaka 10 ana mashine sio mchezo!! Anadai huwa anaogopa hata kuyashika...
  18. AbuuMaryam

    Je, unaweza kumsaidia shemejio dawa za kuongeza nguvu za kiume?

    Kama kichwa kinavyoeleza. Nazungumzia Shemeji wa kiume au baba yako wa kambo aliyemuoa mama yako mzazi. Au mshikaji wako anayetoka na dada yako ukamsaidia viagra au vumbi la congo. Na wewe una dawa ya ukweli ya nguvu za kiume na unajua mtu akipiga hiyo dawa mwanamke ataona cha moto. Je...
  19. mudushi

    Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

    Ndugu zangu wanaJF poleni na Mihangaiko ya kila mara na haya na yale yanayoendelea humu kwetu. ni upepo utapita tu. Mwaka jana nilipost humu jamvini thread kuomba msaada wa tiba ya nguvu za kiume. Kwa kweli ni tatizo lililonisumbua kwa muda mrefu. Sikuwa naweza hata kusimamisha kwa dakika...
  20. Miss Zomboko

    Aliyesema Waziri Ummy kafungua duka la dawa za nguvu za kiume akamatwa

    Serikali imewataka wananchi kuepuka matumizi ya dawa zinazotangazwa kupitia mitandao ya kijamii kwa kuwa hazijadhibitishwa ubora wake na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA). Akizungumza Jijini Dodoma mara baada ya kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Waziri wa...
Back
Top Bottom