Basi bwana kama unataka kurudia nguvu zako kama barobaro wa miaka 20 na kidogo chukua hii
mayai 7 ya kuku wa kienyeji plus habbat sauwda ya unga vijiko 7 vya chakula UTAKULA huu mchanganyiko mpaka uishe Utakuja kunishukuru baadae....
Ukifanya hivi mkeo atakuuliza mme wangu umezaliwa upya nini