zaire

Zaire (), officially the Republic of Zaire (French: République du Zaïre; French pronunciation: [za.iʁ]), was the name of a sovereign state between 1971 and 1997 in Central Africa that is now known as the Democratic Republic of the Congo. The country was a one-party totalitarian dictatorship, run by Mobutu Sese Seko and his ruling Popular Movement of the Revolution party. Zaire was established following Mobutu's seizure of power in a military coup in 1965, following five years of political upheaval following independence known as the Congo Crisis. Zaire had a strongly centralist constitution, and foreign assets were nationalized. The period is sometimes referred to as the Second Congolese Republic.
A wider campaign of Authenticité, ridding the country of the influences from the colonial era of the Belgian Congo, was also launched under Mobutu's direction. Weakened by the termination of American support after the end of the Cold War, Mobutu was forced to declare a new republic in 1990 to cope with demands for change. By the time of its downfall, Zaire was characterised by widespread cronyism, corruption and economic mismanagement.
Zaire collapsed in the 1990s, amid the destabilization of the eastern parts of the country in the aftermath of the Rwandan genocide and growing ethnic violence. In 1996, Laurent-Désiré Kabila, the head of the Alliance of Democratic Forces for the Liberation of Congo (AFDL) militia, led a popular rebellion against Mobutu. With rebel forces successfully making gains beyond the east, Mobutu fled the country, leaving Kabila's forces in charge as the country restored its name to the Democratic Republic of the Congo the following year. Mobutu died within four months after he fled into exile in Morocco.

View More On Wikipedia.org
  1. Nyankurungu2020

    Hamkutaka kujifunza kupitia Bukinafaso na Zaire ya Mobutu mlitegemea nini? Mmesahau kuwa viongozi wanaolinda rasimali za umma ni muhimu kwa maendeleo?

    Watu wa Bukinabe walimuua Thomas Sankara wakarudi nyuma na leo ni masikini wa kutupa. Thomas Sankara alitoa uhai wake kutetea masikini na raia wanyonge kama hayati JPM wa Rubambangwe Chato. Vipi kuhusu Patrice Lumumba? Alisalitiwa na wenzake. Kama leo hii watanzania wanavyosalitiwa na wenzao...
  2. K

    Hayati Mobutu wa Zaire alipitishia bandari gani zana zake za kijeshi?

    Kwa wale wahenga na wajuvi wa hizi mambo huyu mwamba aliyeitawala Zaire kwa mkono wa chuma alipitishia bandari gani zana zake za kijeshi? Nakumbuka huyu mwamba zilikuwa haziivi kabisa na mzee Nyerere pamoja na mzee Museven sasa aliwezaje kupitishia siraha zake hapo bandari ya Dar
  3. Basi Nenda

    Aliyekuwa Mkuu wa usalama wa taifa wa zaire afariki

    honore ngbanda nzambo ko atumba ni jina alilojipa wakati wa aunthetication policy miaka ya 70 lakini jina walilompa wandishi wa habari wa marekani ni the terminator huyu alikuwa mkuu wa usalama wa taifa wa zaire na baadaye aliteuliwa na mobutu kuwa mshauri wake wa maswala ya usalama akiwa...
  4. Infantry Soldier

    Muziki kutoka nchini Zaire (sasa ni D.R.C) uliwezaje kutamalaki na kupendwa sana hapa Tanzania ilhali tumepakana na jirani wengine takribani 6?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu JamiiForums. Ndugu zangu watanzania; Muziki kutoka nchini Zaire (sasa ni D.R.C) uliwezaje kutamalaki na kupendwa sana hapa Tanzania ilhali tumepakana na jirani wengine takribani 6? Mbali na D.R.C nchi yetu ya Tanzania pia imepakana na...
  5. Sky Eclat

    Rais Mobotu alimtumia Nguli wa Muziki Franco Luambo Luanzo Makiadi katika kampeni za kuwania Urais wa Zaïre

    Inaelezwa kuwa huu ni moja ya wimbo mkubwa zaidi wa kueneza propaganda iliyowahi kutengenezwa Afrika na Duniani kwa ujumla. Wimbo huu uliimbwa na Mwanamuziki Nguli wa Muziki wa Rhumba kutoka nchini Zaire(DR Congo kwa sasa), Franco Luambo Luanzo Makiadi mnamo 1984 wakati wa vuguvugu la uchaguzi...
  6. Sky Eclat

    President Mobutu Sese Seko of Zaire

    Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga alikuwa kiongozi wa kijeshi dikteta huko Zaire. Mke wake wa kwanza Marie-Antoinette Mobutu, alifariki kwa ugonjwa wa moyo mwaka 22 October 1977 Genolier, Switzerland akiwa na umri wa miaka 36. 1 May 1980 alimuoa Bobi Ladawa pamoja na pacha mwenzake...
Back
Top Bottom