Kwanzia mwaka huu 2025 dunia itashuhudia mambo mengi ya kutikisa akili, kusisimua na ya maajabu mbele ya macho yetu
Kwenye upande wa medicines, technology, uongozi, kutakua na uwezekano usio na mwisho mfano watu wataweza kujenga nyumba kwa siku moja na mengine mengi
get ready funga mkanda...