ziwa malawi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Kwetu tunachukulia poa ila wamalawi wanazungumzia kila siku Ziwa Malawi / Nyasa, Wanataka ziwa lote la nini ?

    Nawashangaa sana wamalawi, yani karibia kila siku ajenda kuu za kimataifa lazima wagusie ziwa Malawi / Nyasa. Mpaka wa kusini wa Ziwa Nyasa na Msumbiji uliwekwa kupitia mikataba kati ya Uingereza na Ureno, ambayo iligawa mpaka wa ziwa katikati. Hata hivyo, mpaka kati ya Tanzania na Malawi...
  2. Tanzania ni nchi yenye maziwa makuu mengi barani Afrika, kwanini bado kuna shida ya maji hususani kwenye mikoa inayozungukwa na maziwa hayo?

    Tanzania [emoji1241] ni moja kati ya Nchi zilizobarikiwa kwa rasilimali nyingi na ardhi nzuri Duniani. Miongoni mwa rasilimali tulizonazo ni Maziwa Makuu ambayo ni Ziwa Victoria, Ziwa Tanganyika, Ziwa Nyasa (Likifahamika kidunia kama Ziwa Malawi) na mengine kama Ziwa Rukwa, Ziwa Eyasi, Ziwa...
  3. Hivi tuliishia wapi kuhusu Ziwa Nyasa na leo Ziwa Malawi?

    Huu mgogoro ulifikia wapi mpaka leo, maana ramani zinaonesha ni ziwa malawi na sio ziwa nyasa? Na mipaka inaonesha utakiwi kugusa hata maji. Je, kanuni gani mpaka sasa na solution ipi imechukuliwa?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…