Nilipokuwa Juventus katika moja ya mechi dhidi ya Intermilan.
Materazzi alinichezea rafu mbaya kwa kusudi na kuniumiza.
Nilitamani kurudi na kulipiza ilishindikana.
Niliporudi Ac Milaln Kati ya moja ya Derby kikosi chao chote kilikuwa na Mkakati ovu kwangu.
Nikalimwa rafu kwenye kisanduku na...
Ametangaza kuchukua uamuzi huo akiwa na umri wa miaka 41 baada ya kucheza soka kwa miaka 24
Straika huyo aliyekuwa akiitumikia AC Milan, miezi kadhaa nyuma alinukuliwa akisema hana mpango wa kustaafu licha ya kuandamwa na majeraha ya mara kwa mara na umri wake kuwa mkubwa
Zlatan Ibrahimovic...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.