01.01.2018: Mwaka Mpya wenye machungu na ugumu uliokomaa..

01.01.2018: Mwaka Mpya wenye machungu na ugumu uliokomaa..

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,587
Watu wameshamaliza vijisenti. Wamevikwangua kwangu hii wiki moja iliyoisha.

Watanzania wengi wanalalamika sana. Maisha magumu kila kona! Si maofisini si vibandani si magulioni si bodaboda si biashara yoyote ile.

01.01.2018 Mwaka Mpya wa kihistoria kuwahi kutokea Tanzania.
 
usiseme hatuna hela sema sina hela... kama unabisha jioni pita viwanja tabata, maisha basement au next door uone shangwe lake... au pita bandarini uone gari mpya zinavyotolewa kila siku
 
Back
Top Bottom