Mangi wa Rombo
Senior Member
- Sep 25, 2014
- 191
- 129
Habari Wakuu,
Nina Matank ya Maji 15 nauza, ni haya meupe yanayokujaga na bidhaa za viwandani kisha baada ya kushusha mzigo yanabadilishwa kutumika kama ma-tenk ya kuhifadhia au kusafirishia maji au vimiminika vingine.
Yapo 15, kila Tenk moja nauza 150,000/
Tafadhali zingatia: Bado hayajaoshwa, hivyo utaosha mwenyewe!!!
Kwa Maelezo nipigie +255712075845
Nina Matank ya Maji 15 nauza, ni haya meupe yanayokujaga na bidhaa za viwandani kisha baada ya kushusha mzigo yanabadilishwa kutumika kama ma-tenk ya kuhifadhia au kusafirishia maji au vimiminika vingine.
Yapo 15, kila Tenk moja nauza 150,000/
Tafadhali zingatia: Bado hayajaoshwa, hivyo utaosha mwenyewe!!!
Kwa Maelezo nipigie +255712075845