1.5 Trillion zilifanya kazi hii hapa

1.5 Trillion zilifanya kazi hii hapa

Ketoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,117
Reaction score
1,966
Amini usiamini hii hela kuna watu wameibetia,wakiamini kuwa ndani ya mwaka mmoja wangeweza kurudisha hiyo hela na kupata faida

Chezea mhindi,hiyo hela imeisha ingia mfukoni kwake,sasa wanasiasa na serikali wanakabana mashati

Enyi watu wa serikali acheni kutumia hela ya serikali kubeti
 
Hihihihihihibhabhabhabhakukukukukukukuku!!!!!!!!!!!Du!Mikeka!Nani alichana sasa?Ni Wenger bila shaka au Gurdiola!?
 
Back
Top Bottom