10,000+

ha ha ha ha!
unajua wifey wangu (zamani wa roya) unanifurahisha sana!
i will be laughing kwa kila post yako moja

z in na love work descrption to make u laf ol the way in ol tym..
wengne kuleeeeeeee wanalia ao na ivi wagonjwa sjui itakuwaje leo?
 
tushakuwa mwili mmoja
hawez kuja akaniacha..
tutakuja pamoja othwse no kikao...
BABU kwan bibi akukonyez jaman..bas ntavaaa miwan uskonde babu dc!!!!!!

Wale wa enzi zetu hayo mambo tulikuwa tunayafanyia jela...ambako hakuna mtu mwingine hata afande anaruhusiwa kufika...sasa nyie dotcom naoana mnafanya hadi kwenye luninga...mweee..

Naona share zetu labda zimeisha!
 
haijawahi kuwa rahisi.....!
tutakiane kheri wakuu........

NI UPENDO TU!

ahsanteni sana kwa upendo wenu


DEDICATION;

all these posts are dedicated to rose1980,cause she is the only woman who MAKE ME FEEL!

Hongeraa!!!
 
z in na love work descrption to make u laf ol the way in ol tym..
wengne kuleeeeeeee wanalia ao na iavi wagonjwa sjui itakuwaje leo?
wajinga wajinga sie twawapotezeeeeeaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
haijawahi kuwa rahisi.....!
tutakiane kheri wakuu........

NI UPENDO TU!

ahsanteni sana kwa upendo wenu


DEDICATION;

all these posts are dedicated to rose1980,cause she is the only woman who MAKE ME FEEL!

JF Bana!
 
Wale wa enzi zetu hayo mambo tulikuwa tunayafanyia jela...ambako hakuna mtu mwingine hata afande anaruhusiwa kufika...sasa nyie dotcom naoana mnafanya hadi kwenye luninga...mweee..

Naona share zetu labda zimeisha!
ntavaa mawan babu...
 
Mpwa Hongera sana, Nimeongea na Eliza tumekuandalia ka tafrija kadogo pale JJ hapa kesho halafu hebu chungulia jukwaa la COMPLAINTS mara moja

The finest nikaribishe na mimi basi hapo jj kwenye hiyo tafrija ati!nimenunua tuktuk ya miguu miwili ntawahi kufika toka huku mkoani nilipo
 
haijawahi kuwa rahisi.....!
tutakiane kheri wakuu........

NI UPENDO TU!

ahsanteni sana kwa upendo wenu


DEDICATION;

all these posts are dedicated to rose1980,cause she is the only woman who MAKE ME FEEL!

Jentoma....kongrachuleshens....ila.........!
 
Good teaamo...........ila inategemea post zako zilikuwa na mchanmgo gani kwani ukubwa wa pua sio lazima uambatane na uwingi wa makamasi....
 
Good teaamo...........ila inategemea post zako zilikuwa na mchanmgo gani kwani ukubwa wa pua sio lazima uambatane na uwingi wa makamasi....
hata hata mkuu!
umuhimu wa mchango wa post ni a very relative term............!na inategemea wewe ni wa mlengo gani.

kwa mfano:hebnu mfikirie mtu ambae si mnazi wa siasa za ''fanya fanya'' za hapa bongo,unatarajia yeye kuona thread za mwanakijiji ni za muhimu kwake?

au muangalie mdau ''mama'' wa I.S.C,unadhani ukimwambia MMU iondolewe atakuelewa?

au muangalie mtanzania mwenye ALEJI na politiks za kitanzania kama mimi........

hehehehe!
nigongee senksi mpwa!

niko home sasa rozi ananiandalia chai huko ili niwahi kijiweni manzese,si unaona napost via mobile?
 
yeah!
mic ya too
hahha hahaha jof umenichekesha jamn...dah nimecheka sana
ulivyojbu fasta fasta...
aya bwana
m so glady to ave u
missng u jana ndo nin bana mi nilikuomba ki beb woka we umeniletea hammar?
misilitak...nataka kibeb woka tu basi hammar mpe fnest..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…