10 million youth ready to leave Kenya

10 million youth ready to leave Kenya

kirk git

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2018
Posts
591
Reaction score
677
Majority of Kenyan youth are willing to leave the country in search of better opportunities if given a chance. According to research findings published in the British Council’s Next Generation Kenya Report, these young people, though, have a strong sense of pride in Kenya, with 91% of those who responded to a national household survey saying they love their country, and 86% agreeing that both the heritage and identity are important to them.
10 million youth ready to leave Kenya - Business Today News
 
That is just that,a will to move! If you expect a mass exodus any time soon,you'll wait till Goddot comes! As the findings aptly notes,Kenyans are the most patriotic lot and our desire to globe trot does not diminish our love for mother Kenya. We only go out there to bring back maendeleo! No brain drain but brain exploration!
 
It says the youth are very disillusioned.

That alone says a lot about the situation in Kenya failed state!
 
It says the youth are very disillusioned.

That alone says a lot about the situation in Kenya failed state!

So is the whole world disillusioned by one thing or the other!
If Kenya the "failed state" can anchor and be the heart beat of East/Cental Africa,what if it becomes the opposite, rule Africa!?
 
Vijana nchi zote huwa na tamaa ya kutaka kutoka, ni jambo la kawaida, hata Bongo kuna madogo mamilioni wanatamani sana kwenda Marekani wakaishi huko na akina Jay Z, Nick Minaj n.k.
Hata mimi enzi nikiwa kijana nlitamani sana kwenda majuu maana movie zilikua zinatupa picha nzuri nzuri, lakini ukikua ndio unatambua umuhimu wa kubaki nyumbani na kuijenga nchi yako.

Leo hii mimi hata hapa jirani nchi kama ya Tanzania nikienda huwa naharakisha shughuli zangu nirudi mara moja kwa familia yangu, watu wetu na nchi yangu, nihusike kuijenga bati kwa bati, tofali kwa tofali, hatua kwa hatua, iwe kwa mifoleni ya magari, iwe kwa mvua au jua kali, tutaijenga nchi na haitokuja siku niikimbie, humu humu tu kitaeleweka, bendera yangu na wimbo wa taifa letu tukufu na nyama choma, kachumbari, matembele, mabamia, sukuma wiki na ugali, mke mmoja mrembo anayefahamika!!!!, watoto wenye akili na uwezo mkubwa, lugha yangu ya asili ya Kikikuyu, lugha nne za asili Kiluhya, Kijaluo, Kikamba, Kikisii lugha za kuja kama Kiswahili, Kingereza ndio zangu mbele kwa mbele, sababu kibao za kumshukuru Mungu kwa baraka zote hizi.

Na kila wikendi nakutana na washkaji kwenye bendi tunaambizana mbili tatu huku tukicheza zilizopendwa...... Afrika tamu, Kenya haitokuja siku niiache.
 
Vijana nchi zote huwa na tamaa ya kutaka kutoka, ni jambo la kawaida, hata Bongo kuna madogo mamilioni wanatamani sana kwenda Marekani wakaishi huko na akina Jay Z, Nick Minaj n.k.
Hata mimi enzi nikiwa kijana nlitamani sana kwenda majuu maana movie zilikua zinatupa picha nzuri nzuri, lakini ukikua ndio unatambua umuhimu wa kubaki nyumbani na kuijenga nchi yako.

Leo hii mimi hata hapa jirani nchi kama ya Tanzania nikienda huwa naharakisha shughuli zangu nirudi mara moja kwa familia yangu, watu wetu na nchi yangu, nihusike kuijenga bati kwa bati, tofali kwa tofali, hatua kwa hatua, iwe kwa mifoleni ya magari, iwe kwa mvua au jua kali, tutaijenga nchi na haitokuja siku niikimbie, humu humu tu kitaeleweka, bendera yangu na wimbo wa taifa letu tukufu na nyama choma, kachumbari, matembele, mabamia, sukuma wiki na ugali, mke mmoja mrembo anayefahamika!!!!, watoto wenye akili na uwezo mkubwa, lugha yangu ya asili ya Kikikuyu, lugha nne za asili Kiluhya, Kijaluo, Kikamba, Kikisii lugha za kuja kama Kiswahili, Kingereza ndio zangu mbele kwa mbele, sababu kibao za kumshukuru Mungu kwa baraka zote hizi.

Na kila wikendi nakutana na washkaji kwenye bendi tunaambizana mbili tatu huku tukicheza zilizopendwa...... Afrika tamu, Kenya haitokuja siku niiache.

Tilia mkazo nchi zenye unemployment rate of over 60% ambapo vijana wanatamaa sana wavuke mpaka kutafuta kazi.
 
It says the youth are very disillusioned.

That alone says a lot about the situation in Kenya failed state!
Hmmm, if the number of Tanzanian, Ugandan, Ethiopian, Somali and DRC economic migrants are anything to go by, then as Kenya is a failed state, the aforementioned ceased to exist as states altogether
 
Back
Top Bottom