Elections 2010 10% xtra ballot papers

Elections 2010 10% xtra ballot papers

bulunga

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2010
Posts
303
Reaction score
49
never on earth kwamba turnout ya voters ni 100%, leo kiravu anatueleza wanaongeza 10% ya papers to cater 4 shortages, hii inaingia akilini, Mjoma mpoki anasema uchaguzi uliopita turnout ilikuwa 70%, 30% hawakupiga kura, do we really need 10% xtra ballot papers:A S-baby:
 
............kama kumbukumbu haziko sawa, nisahihishwe. Sijawahi kusikia nchi yoyote dunia hii, hata uhamasishaji uwe vipi kwamba waliojitokeza kuoiga kura ni 100% ya waliojiandikisha. Kama ni 100%, still hiyo 10% ya nini? yaani 1.9 million ballot papers? NEC mtaficha wapi sura zenu mambo yakiharibika? hakika ukoo wenu (Kiravu, Makame etc) mtatafunwa na dhami hii milele na milele!
 
Back
Top Bottom