Ahahaahahahaaha maisha ni fair kabisa kila nabii na nyakati zakeYaani TID kwenye show ya Diamond yeye kawa msindikizaji. Yaani anapanda stage kabla ya Queen Darlene? Kweli maisha siyo fare
Miaka 10 on TOP sio mchezoNipo hapa naangalia show ya miaka 10 ya diamond platnumz kupitia WASAFI TV duh hii stage si ya mchezo imetengenezwa Kama ghorofa fulani hiv mc anakaa juu ya hiyo ghorofa alafu anatambulisha wasanii alafu wasanii wapo ndani ya hiyo ghorofa.
Nimependa Sana Huu ubunifu big up to him na waandaji wote was hii stage.
Homecoming lazima msanii awape favor watu wake wanyumbani
Point
Nlitaka iwe na umbo lakoWewe ulitaka iweje?
Ni mfano wa castle sio msikitiKwann stage imetengenezwa mfano kwa msikiti?
one of the worse,dumb and garbage thread ya kufungia 2019.