sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,280
- 7,930
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi bab unajijua kama we ni mshamba sana?Kwann stage imetengenezwa mfano kwa msikiti?
Huyu anaiga hadi anaboa, kasikia diamomd kapokelewa kimila kwao, nae kakimbilia tandahimba
Ajifunzi nae hakuna msanii aliyetumika na ccm akabaki kwenye Game,ilikuwa ni uzinduzi wa kampeni ya ccm na sio show.
Watu wamelipa hela wapigiwe show na sio kupigiwa kampeni hapo ni kuwaibia wateja.
Hahah na kila mmama ana nchi yakeMbona hujasema ya kuzaa watoto wanne kila mmoja na mama ake?
Kalale upate mmePale inno anajitahidi kumpamba domoView attachment 1305521
Mbona kiba ajasema kama amezaa watoto sita kila mmoja mama yake..?Mbona hujasema ya kuzaa watoto wanne kila mmoja na mama ake?
Kwani watu 250 wanaoga pamoja!!??? Au kwenu huwa mnaoga pamoja familia nzima!?Pamoja na ushamba wangu, lakini usiniambie kuna treni yenye mabafu ya kuoga watu 250. Hata Ulaya hakuna
Tatizo hapendi SHOW OFF hahahahahhh, ila KIBA kusema kweli tukiachana na unafiki kaachwa mbaliii sana kwa kila kitu na huyu... Sema tu ndio kujikaza tu kama Yanga anavyotaka kujimwambafy mbele ya MNYAMA wakati ukweli anaujua...Kwani kiba yeye anazungumziaje swala hilo???
Anakuburuza wewe na familia yako lol, khaaaaaah aibu naona mimi hahahahahah, zee zimaaaa hovyooooohMie Nafurahi Tu Anavoburuza Mawingu Na Team Yao
Kwani we ni mfanyakazi wa clouds?Anakuburuza wewe na familia yako lol, khaaaaaah aibu naona mimi hahahahahah, zee zimaaaa hovyoooooh
Sent using Jamii Forums mobile app
Tamasha la unzinduzi Wa kampeni