10 years of Diamond Platnumz

10 years of Diamond Platnumz

Kwanza kabisa na mpongeza kwa kufikisha miaka 10 ya mziki wake SI rahisi kuwa on top kwa miaka hiyo yote lakini huyu mwamba kaweza.Haya ni baadhi ya mambo aliyofanya kwenye kipindi chake chote Cha mziki

1.kutengeneza wasanii wakubwa from scratch kupitia label yake ya WCB Kama vile Rayvanny, Harmonize,Mboso na Lavalava

2. Kujiingiza kwenye biashara ya media nakuanzisha wasafi tv na wasafi fm

3.kusaidia Jamii mfano alitoa madawati 600 kwenye baadhi ya shule zenye madawati machache, kuchangia ujengwaji wa maabara sumbawanga ikapelekea moja ya shule kuitwa shule yake Kama sehemu ya heshima, kuwapa bima wamama 40 tandale, kutoa takribani bajaji 30 kwa walemavu kwenye birthday iliyofanyika tandale,kujitolea kusomesha watoto wa 3 nje ya nchi, kuchangia vitanda vya wagonjwa hospital ya kijitonyama n.k

4. Kutengeneza ajira mfano ameajiri wapigaji picha especially wa matukio ya show, bodyguards, IT wanaoendesha page ya zote za wasafi pamoja na YouTube,DJs, video production nfano zoom extra or zoom production, madancers n.k

4.music achievement mfano diamond ameshinda tuzo nyingi SI chini ya 100 zikiwemo za ndani na nje ya nchi Kama vile MTV EMA, CHANNEL O, AFRIMMA n.k, ngoma yake ya merry you ilifika platnum yaani ilinunuliwa na watu wengi Sana na kuwa ngoma yenye mauzo makubwa kuliko ngoma yoyote ya Africa kwa mwaka huo, kuingia makubaliano na label kubwa ya UNIVERSAL MUSIC wakutangaza kazi zake ya music, kufanya ngoma na mtu Kama Rick rose, Omarion na neyo, ngoma zake Kama Mdogodogo, Nana na Number one kuweka record ngoma zilizoshika number 1 kwenye chart za ngoma za Africa kwa muda mrefu kwenye chart za media za mziki Kama vile SOUNDCITY, CHANNEL O,MTV BASE.n.k

Aliyoifanya ni mengi Ila nimeweka machache ili Uzi usiwe mkubwa.

Baada ya mambo mengi aliyoifanya kwenye mziki wake ameona aje na idea ya kuenda kigoma na treni na watu kwa namna moja au nyingine wamechangia mafanikio yake

Binafsi nimependa idea yake cos kwenye hiyo ameajili watu watakao wapikia wageni wote kwenye treni bure na amechukua mabehewa 7.kutakuwa na behewa moja kwa ajili ya watu kula mziki na wametengeneza Kama disco fulani lakini pia kutakuwa na documentary yake ya mziki ambao watu wataona na pia watakapo fika kigoma wageni wake wote hawatalipa chochote gharama zote zitakuwa zake so amefanya Kama fadhira fulani

#biguptohim namtakiwa Mafanikio mema
Hongera Zake kabisa tokea mbagala mpaka na leo amejitahidi ningekuwa ndugu yake ningemwombea dua andelee na jitihada zake .
Yaani watu wamemuona tokea hana mpaka anazo .
Kuimba nikipaji ila yeye anajua kuburudisha jamii.
Nakuwasaidia pia kweli mimi naona kajitahidi.
 
watoto wanne kwa mama watatu

Hapo naona ndo wanafanana na kiba
Kwani KIBA si anawatoto sita sijui saba na kila mtu anamama yake .
Usihukumu watu bhana mpe haki yake hongera Diamond sio tunamfagilia mtu akifanya bidii basi mpongezeni.
Naakili hauna kwasababu hatuongelei maisha yake ya nyumbani private life tunaongelea kazi yake ambayo ni muziki mbona wewe una watoto kama shule tena ya msingi na kila mmoja anamama yake au baba ake na hatusemi
 
Kwani KIBA si anawatoto sita sijui saba na kila mtu anamama yake .
Usihukumu watu bhana mpe haki yake hongera Diamond sio tunamfagilia mtu akifanya bidii basi mpongezeni.
Naakili hauna kwasababu hatuongelei maisha yake ya nyumbani private life tunaongelea kazi yake ambayo ni muziki mbona wewe una watoto kama shule tena ya msingi na kila mmoja anamama yake au baba ake na hatusemi
Katoto leo umeongea point kubwa Sana.
 
Bajaj 30 za wapi hizo?
Bima ya 30000 kwa wamama 40 ni 1200000

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wenye roho mbaya zao, na wewe toa hizo bima za 30000 hata kwa watu 5 hapo mtaani kwako tuone. Kama hujui alishatoa bodaboda za mkataba mapato yanaenda serikali ya mtaa Tandale, kwa hesabu nilizopiga kipindi kile kila mwezi serikali ya mtaa ingekusanya pesa kununua piki piki nyingine na Mondi aliagiza utaratibu huo ili kuwawezesha vijana wenigne pia wapate piki piki mbali na alizopeleka, We umekaa hapo umening'iniza kende sijui vulva unataka na we akuletee hela? jitume kwanza uwezeshwe sio unakuwa na majungu afu usikute na we eti mwanume, i pray uliye post uwe mwanamke, kama ni mwanaume nakutaarifu tu mi mende na natembea na ganda la kibiriti, ntakutafuta nikuchukue vipimo.
 
Back
Top Bottom