GLOBAL CITIZEN
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 767
- 1,657
1 • 90% ya watu hawasave pesa. Ndiyo maana 90% ya watu ni masikini.
2 • Watu wengi wanapoteza Pesa kununua vitu wasivyohitaji kwa pesa wasizokuwa nazo ili kuwafurahisha watu wasio wajua. Think about that.
3 • Kusave pesa ni tabia ya tajiri. Masikini yeye ni kutumia tu.
4 • Ili ubadilike kutoka masiki kuwa tajiri inabidi ubadili mindset yako kutoka poverty mindset to rich one.
5 • Financial Independence ni state of mind inayo attract good money management. If you can manage your money you are good my friend.
6 • Watu masikini wanafanya kazi kama watumwa wapate pesa. Tajiri anafanya kazi for pleasure.
7 • Jifunze mbinu za pesa kukutumikia. Si wewe kutumikia pesa.
8 • Nionyeshe mtu masikini anaye manage pesa zake na mimi nitakuonyesha samaki anayeishi ardhini.
9 • Pesa inapatikana kwa kutoa value. So does the wealth.
10 • Pesa haiongei. Ila inawavuta watu waiongelee.
11 • Pesa ni muhimu lakini pesa si kila kitu.
2 • Watu wengi wanapoteza Pesa kununua vitu wasivyohitaji kwa pesa wasizokuwa nazo ili kuwafurahisha watu wasio wajua. Think about that.
3 • Kusave pesa ni tabia ya tajiri. Masikini yeye ni kutumia tu.
4 • Ili ubadilike kutoka masiki kuwa tajiri inabidi ubadili mindset yako kutoka poverty mindset to rich one.
5 • Financial Independence ni state of mind inayo attract good money management. If you can manage your money you are good my friend.
6 • Watu masikini wanafanya kazi kama watumwa wapate pesa. Tajiri anafanya kazi for pleasure.
7 • Jifunze mbinu za pesa kukutumikia. Si wewe kutumikia pesa.
8 • Nionyeshe mtu masikini anaye manage pesa zake na mimi nitakuonyesha samaki anayeishi ardhini.
9 • Pesa inapatikana kwa kutoa value. So does the wealth.
10 • Pesa haiongei. Ila inawavuta watu waiongelee.
11 • Pesa ni muhimu lakini pesa si kila kitu.