mkuu Sikonge mchina kaamua kutoka na design ya zeze, teh teh teh!
miaka inavyokwenda huenda wachina wakaongoza kwa design.
mkuu Kimweri umenichekesha sana, loh! hahahahahaah,
mkuu unajua ili uwe creative hasa kwenye hii field ya ku'design lazima usiwe na njaa, kama ni mtu wa tamaa lazima utoke na boksi fasta fasta, also muitikio wa cliants ni kuogopa gharama hivyo kutulazimu kuchomoka na design za maboksi.
hapa chini ni nyumba ya zumbe kimweri.
![]()
Agree 100%,ila kwa Tanzania Njaa tunaiendekeza sana!na zaidi cost zetu sio kwamba ziko chini kivile,ukilinganisha na wenzetu,nadhani unakumbuka kashfa ya EPA,walivyojenga jengo la less than 10,000sqm kwa gharama mara 3 zaidi ya same building costs new york.
