Hicho kitabu cha 1 ni noma sana,i highly recommend it.Kuna hivi vikali vya kuongezea.
1. The millionaire fastlane
2. Why "A" student's works for "C" student's.
Ukivisoma hivi hutajuta kuvisoma.
Yawezekana hasomi ila waoendesha Bakhresa Group kwa vyovyote wanasoma. Angekuwa anakomaa mwenywe mpaka leo angekuwa na mgahawa tu.Check na Bakhresa kama amesoma chochote kati ya hivyo alafu uni tag
@mnga'to na DZUDZUKU naomba hicho kitabu cha milionare fastlane
Hicho hapo mkuu.View attachment The Millionaire Fastlane_ Crack the Code to Wealth and Live Rich for a Lifetime. ( PDFDrive.co...pdf@mnga'to na DZUDZUKU naomba hicho kitabu cha milionare fastlane
Aiseee😂Check na Bakhresa kama amesoma chochote kati ya hivyo alafu uni tag
Je Bakhresa ni tajiri zaidi ya Warren Buffert [emoji121]Check na Bakhresa kama amesoma chochote kati ya hivyo alafu uni tag
Kuna vitabu ukivisoma ghafla unabadirika,
Warren amesoma hivyo vitabu?
Hata usome vitabu 5000 kama huchukui hatua ni bure tu,ni sawa na usome vitabu hata 15 kuhusu namna ya kujifunza kuogelea usipoingia kwny maji uka-practise hizo theories ni kazi bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamjua warren buffet?Warren amesoma hivyo vitabu?
Chief negativity people huwa hawakosekaniUnavyosema "theory" unamaanisha nini? Kwa mfano mtu anaandika kitabu kinahusu namna alivyoanzisha kampuni yake (mf ipo mingi tu namna Coca-Cola ilivyoanzishwa, Facebook n.k) kitabu kinaandikwa ili wewe ujifunze mawili matatu unayoweza kutumia kwenye biashara yako / maisha yako sasa wewe unasema theory, theory kivipi wakati mtu ameishi maisha halisi kisha ndo akaamua kuyaweka kwenye maandishi?, huu UJINGA unaouonyesha hapa ni wa kiwango cha standard gauge!
Sent using Jamii Forums mobile app
Entrepreneurship is not easy and knowledge can be a decisive factor whether you fail or succeed.
Find below a list of books which would provide immense value for all existing and aspiring entrepreneurs.
1. The 4-Hour Workweek by Timothy Ferriss
2. The Fire Starter Sessions by Danielle La Porte
3. The $100 Startup by Chris Guillebeau
4. Never Get a Real Job by Scott Gerber
5. Cashflow Quadrant: Rich Dad’s Guide to Financial Freedom by Robert Kiyosaki
6. Built to Last: Successful Habits of Visionary Companies by Jim Collins
7. Lean Startup: How Today’s Entrepreneurs Use Continuous Innovation to Create Radically Successful Businesses by Eric Ries
8. Like a Virgin: Secrets They Won’t Teach You at Business School by Richard Branson
9. Screw Business as Usual by Richard Branson
10. Smarter, Faster, Cheaper by David Siteman Garland
Read More: Best Entrepreneur Books Of All Time : 12 Books Every Entrepreneur Should Read
Kuna watu wanasoma hivyo vitabu na ndo wanamfanyia kazi BakhresaMkuu unakua entrepreneur ili mwisho wa siku iweje? siyo kuwa na successful businesses? au unafanya ili upate hela za kula? then why reading all those literature?