THANKS!hii post inaenda fasta kama treni ya umeme
thanks pal!
Pamoja sana
nashukuru kwa kuwa responsible
sio kitu rahisi kwa binadamu wa kawaida kuwa responsible kwa level hii.
Ahsanteni sana wakuu!
Sioni jema hata moja nilowafanyia lakini you people are there for me forever and for always
Mmmh sasa mbona hukusema mpaka watu tumeanza kutumia uswazi
njoo tudumishe si unaona nina kinywaji kabisa
Samahani naomba kuuliza, valuu inaruhusiwa ndani ya GX?
Hata mbege mzee.....utakuwa baki becha......!
Currently Active Users Viewing This Thread: 41 (23 members and 18 guests) FirstLady1 , Ambassador, carmel, Edson, Gabu, gkundi, JS, Kaizer, Lily Flower, locust60, loree, Lussadam, Mfuatiliaji, Mkaa Mweupe, mwakampya, Next Level, Preta, s.fm, Shishi, Tiba
duuuu mnajitahidia (Preta )-ndo nani wewe jina la ubatizo hapa umenipotezea
Ahaa! Kumbee? Unajiona mjanja siyo? Vipi hicho kinywaji kwenye hizo naniliu ni serengeti au taska?
Noted with many thanks!
tuvaluu uto
hheeee Iribini na huyu ni nani tena ...una hatari wewe !!!!!!!!!!!!!!!!!
naniliu.....