13 february 2010

special thanks to georgieporgie,
the buddy IS THERE FOR ME BUTU NA MOI!....
Eheeee! Hapo sasa tunaenda sawa, naona unaanza kurudi kundini. Home Sweet Home!
 
Noted with many thanks!
dah, mpwazzzz mwambie aspesifai vizuri 'BE IN BED MEANS BROAD',
unaweza kuwa nae kwenye bed lakini mko mzungu wa nne na HAMDUMISHI MILA!, asema be in bed N.A.K.E.D with xpin!
hahahaaaaaaa.
 
nawashukuru sana Ambassador,Gabu,locust60,Lussadam,Maverick,Mfuatiliaji,mkaa Mweupe,s.fm,yegomwamba

nawaona hapa mnafuatilia maoni ya marafiki zangu.nanyi pia ni marafiki.najua kutotoa maoni yenu ni kutokana na ubize tu wa kazi.
TUPO PAMOJA!
MUCH LOVE
 
dah, mpwazzzz mwambie aspesifai vizuri 'BE IN BED MEANS BROAD',
unaweza kuwa nae kwenye bed lakini mko mzungu wa nne na HAMDUMISHI MILA!, asema be in bed N.A.K.E.D with xpin!
hahahaaaaaaa.

Nadhani preta ameiona hiyo naniliu hapo juu. In bed with Chrispin halafu mila isidimishwe? IMPOSIBO!
 
Jamani maneno mazuri mazuri haya mnayo mpa Geoff yageuzeni kimchango zaidi wa hali na mali maana wengine hapa tunaishia tu kwenye keyboard na kulemba lemba maneno.
 
tuvaluu uto __________________
"BEER now cheeper than gas! drink, don't drive"

duh, nimeipenda hii siginecha.
 
IDUMU JF!
WADUMU MARAFIKI
WADUMU WAPWAAZ
WADUMU MABINAMU

tuko pamoja for life!
sikutegemea response nzuri hivi
lakini for now nina imani kwamba we are good friend DESPITE SOME UPS AND SOME DOWNS we are going through!
PAMOJA SANA
 
Noted with Many thanks darling!
duh,
mpwazzz unatumia kizizi nini??
maana ma-SHE wote wanakuja kwako, mwingine atakua bed na wewe na kijibaridi cha makambako pale lazima muache ofuspringi, mwingine huyo nae anasema anataka kudumisha mila na wewe!!.
mkuu nakuonea ujilasi.
 
Jamani maneno mazuri mazuri haya mnayo mpa Geoff yageuzeni kimchango zaidi wa hali na mali maana wengine hapa tunaishia tu kwenye keyboard na kulemba lemba maneno.

THANKS for the concern,
kitu muhimu zaidi nilichofarijika ni RESPONSE NZURI YA MARAFIKI!
naomba marafiki wawe free tu kuchangia au kutochangia.
mambo ya fedha yasitufanye tuvunje bond yetu
kitu muhimu katika maisha yangu IS BEING CLOSER WITH YOU GUYS FOR BETTER FOR WORSE
 
duh,
mpwazzz unatumia kizizi nini??
maana ma-SHE wote wanakuja kwako, mwingine atakua bed na wewe na kijibaridi cha makambako pale lazima muache ofuspringi, mwingine huyo nae anasema anataka kudumisha mila na wewe!!.
mkuu nakuonea ujilasi.

Matunda ya dua la marehemu babu yangu! Alinirithisha kudumisha mila!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…