Eheeee! Hapo sasa tunaenda sawa, naona unaanza kurudi kundini. Home Sweet Home!special thanks to georgieporgie,
the buddy IS THERE FOR ME BUTU NA MOI!....
kwa nini uuwe bendi hivi lakini?
kwa nini uuwe bendi hivi lakini?
We acha tu, huyu preta ananipandisha naniliu kichwani!
dah, mpwazzzz mwambie aspesifai vizuri 'BE IN BED MEANS BROAD',
unaweza kuwa nae kwenye bed lakini mko mzungu wa nne na HAMDUMISHI MILA!, asema be in bed N.A.K.E.D with xpin!
hahahaaaaaaa.
ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa, dukwa nini uuwe bendi hivi lakini?
Noted with Many thanks darling!oohh my dearest Xpin very sorry dearest. I didnt make it yesterday. Ntakuja leo tudumishe mila mpenzi wangu
we mwana vituko. Ndo maana nakupenda sana kuliko hata Mr. wangu....
Nadhani preta ameiona hiyo naniliu hapo juu. In bed with Chrispin halafu mila isidimishwe? IMPOSIBO!
duh,Noted with Many thanks darling!
IDUMU JF!
WADUMU MARAFIKI
WADUMU WAPWAAZ
WADUMU MABINAMU
Jamani maneno mazuri mazuri haya mnayo mpa Geoff yageuzeni kimchango zaidi wa hali na mali maana wengine hapa tunaishia tu kwenye keyboard na kulemba lemba maneno.
Nimepata wifi kaka Xspin???
duh,
mpwazzz unatumia kizizi nini??
maana ma-SHE wote wanakuja kwako, mwingine atakua bed na wewe na kijibaridi cha makambako pale lazima muache ofuspringi, mwingine huyo nae anasema anataka kudumisha mila na wewe!!.
mkuu nakuonea ujilasi.
Nadhani preta ameiona hiyo naniliu hapo juu. In bed with Chrispin halafu mila isidimishwe? IMPOSIBO!