13 february 2010

13 february 2010

kama shubiri ni tamu, asali ina ladha gani?
 
Unajua kichwa changu kimepoteza netiweki, ndo mana nataka nikiamshe kwa valeur kirudi kwenye mstari!
__________________
Sorry to you beer and kitimoto! On 13/02 I will be busy with Ulanzi and wow!wow!wow!

SIGNATURE NOTED XPIN
 
Unajua kichwa changu kimepoteza netiweki, ndo mana nataka nikiamshe kwa valeur kirudi kwenye mstari!
__________________
Sorry to you beer and kitimoto! On 13/02 I will be busy with Ulanzi and wow!wow!wow!

SIGNATURE NOTED XPIN
hehehe!
wapwaaz hao ndugu yangu
rapsharapsha zimeanza......
 
hahahahahaaaaaaaaaaaaa,
mpwazzzzz umeniacha sina mbavu!!.
GEOFF,
hakikisha unatoa tahadhari mapema sio watu wakimbilie kula BBQ ovyo ovyo!!, nadhani nimeeleweka hapo, makambako kule sio zero pub wala chawote, kuna wow, wow, wow, wow, wowww!!😀😀

He!he!he!he!he...ka preview mzee....umepigwa ya ki-Sinkala!

mkuu wangu rector wetu(me,gkundi na fidel80) anaitwa GOLLETO.huu ni mtambo wa fizikia

Sasa unakumbusha mengine.....unamkumbuka yule jamaa wa kastarlet ...eeeeh? Huyo sio FIZIKIA....ila BIOS LOGOS.....aligundua wadudu kawaita DUTROS.....etc etc....!Check naye alikuwaga na mziki mnene sana.....kny tukio MAYENU lazima mzee.....!

ndugu yangu NEXT LEVEL ni mseminari mkuu wangu!....
humu ndani tuna mapadre wengi sana

Ee Mungu unielekezeeeeee Msaaadaaa.......please jibu hii........!

jaribu jaribu funga na kuomba ili Father Gollete ainjinie hii issue muhimu
{hata simjui}

Hao kina Geoff ...maneighbours wetu walikuwa na wagalatia wengi sana.....kuna kina Dutto, Pangoti,......jamaa ingine ilikuwa naitwa Mwalongo (mzee wa AISOSITASI theories).....ha!ha!ha!haaa!
 
jamani kama kuna mtu hajakamata SENKSI yangu naomba anipiemu!nimejitahidi kumpiga na SENKSI kila muungwana hapa.natamani niwapige senksi hawa maguest lakini nashindwa.MODS MSAADA KWENYE TUTA PLEASE..........
 
jamani kama kuna mtu hajakamata SENKSI yangu naomba anipiemu!nimejitahidi kumpiga na SENKSI kila muungwana hapa.natamani niwapige senksi hawa maguest lakini nashindwa.MODS MSAADA KWENYE TUTA PLEASE..........


ahahahah hata maguuest pia??? eh kweli uko mkarimu sana...kwanza mods waweke vibatani vya hug ,kiss na blush etc....kuna post zingine bwana we unawish ungemu hug mwanzilishi ahahahhahahah...hebu wasilisha hili kwa mods. basi tu tunabakia ku blush at the monitor!!!!
 
ahahahah hata maguuest pia??? eh kweli uko mkarimu sana...kwanza mods waweke vibatani vya hug ,kiss na blush etc....kuna post zingine bwana we unawish ungemu hug mwanzilishi ahahahhahahah...hebu wasilisha hili kwa mods. basi tu tunabakia ku blush at the monitor!!!!
........yaah!I LIKE THIS IDEA!halafu sikuwahi kuifikiria
 
ahahahah hata maguuest pia??? eh kweli uko mkarimu sana...kwanza mods waweke vibatani vya hug ,kiss na blush etc....kuna post zingine bwana we unawish ungemu hug mwanzilishi ahahahhahahah...hebu wasilisha hili kwa mods. basi tu tunabakia ku blush at the monitor!!!!

Najua tu una hamu ya kuni-hug leo. No worry there is always other day!
 
Unajua kichwa changu kimepoteza netiweki, ndo mana nataka nikiamshe kwa valeur kirudi kwenye mstari!
__________________
Sorry to you beer and kitimoto! On 13/02 I will be busy with Ulanzi and wow!wow!wow!

SIGNATURE NOTED XPIN

Umekula senksi hapo! Nakunywa bia za mwishomwisho, muda wa kugida ulanzi unakaribia!
 
Sorry to you beer and kitimoto! On 13/02 I will be busy with Ulanzi and wow!wow!wow!
 
jamani kama kuna mtu hajakamata SENKSI yangu naomba anipiemu!nimejitahidi kumpiga na SENKSI kila muungwana hapa.natamani niwapige senksi hawa maguest lakini nashindwa.MODS MSAADA KWENYE TUTA PLEASE..........

Mi sikuPM wala nini nakuambia kwa hapahapa.
Hujanigongea Senksi za kutosha!
 
Sorry to you beer and kitimoto! On 13/02 I will be busy with Ulanzi and wow!wow!wow!
Mishikaki ya hiyo kitu achana nayo kabisa! Sasa ushushie na ulanzi inakuwa balaa bin balaa!
 
Join Date: Sat Mar 2008
Location: At Any Bar Counter
Posts: 4,565
Thanks: 671
Thanked 1,006 Times in 737 Posts
Rep Power: 31
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



icon1.gif
Re: 13 february 2010
 
Join Date: Sat Mar 2008
Location: At Any Bar Counter
Posts: 4,565
Thanks: 671
Thanked 1,006 Times in 737 Posts
Rep Power: 31
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



icon1.gif
Re: 13 february 2010

Hehehe! Mpaka Field Marshal nimempiga bao! Nimekamata namba nne! Kati ya hizo zote za kwako 600! Hahaha! SENKSI!
 
Back
Top Bottom