Nchi inatawaliwa kwa Katiba na sheria zinazotokana na Katiba. Mwalimu Nyerere, Baba wa Taifa alijua fika kuwa katiba yetu ni mbovu na akasema bayana kuwa katiba hii ni mbaya akitokea Kichaa akaitumia atakuwa DIKTETA NA ATAUMIZA WATU.
Pamoja na kuliona hilo (nampomgeza kwa hilo),bado hakuibadilisha kwa vile ilikuwa inampa yeye U-MUNGU mtu kutawala kirahisi without being challenged /facing opposing views!
Angalia sasa madikiteita wa kiume na kike wanavyoitumia kuua, kuteka, kupoteza , kuminya demokrasia ya watanganyika!
A GOVERNMENT IS AN INSTRUMENT OF OPPRESSION, AS LONG AS HE HEADED THE INSTRUMENT OF OPPRESSION, SIWEZI KUMUENZI!
Ukiacha hilo hapo juu, kwa mengine alikuwa mfano bora eg, kutokuwa Mwizi. UAMINIFU
Pamoja na kuliona hilo (nampomgeza kwa hilo),bado hakuibadilisha kwa vile ilikuwa inampa yeye U-MUNGU mtu kutawala kirahisi without being challenged /facing opposing views!
Angalia sasa madikiteita wa kiume na kike wanavyoitumia kuua, kuteka, kupoteza , kuminya demokrasia ya watanganyika!
A GOVERNMENT IS AN INSTRUMENT OF OPPRESSION, AS LONG AS HE HEADED THE INSTRUMENT OF OPPRESSION, SIWEZI KUMUENZI!
Ukiacha hilo hapo juu, kwa mengine alikuwa mfano bora eg, kutokuwa Mwizi. UAMINIFU