Nakufananisha na msafiri ambaye anapita nyikani Toka mwanzo WA safari mpaka anafika hajageuka nyuma.kwa mengine alikuwa mfano bora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakufananisha na msafiri ambaye anapita nyikani Toka mwanzo WA safari mpaka anafika hajageuka nyuma.kwa mengine alikuwa mfano bora
anakunywa ka bia kidog....?????sijakupata!Nakufananisha na msafiri ambaye anapita nyikani Toka mwanzo WA safari mpaka anafika hajageuka nyuma.View attachment 3123364
uko sahihi, lkini nguzo ya kutufanya tusibadilike aliisimikayeye!Kama hadi baada ya miaka almost 40 ya utawala wake, bado analaumiwa yeye. na sisi tumeshindwa kubadilika basi tatizo lipo kwetu
Kulaumu tu haisaidii mabadiliko yanaletwa/yataletwa na nani?Miaka karibia 40 bado tunalaumu kitu ambacho kiuhalisia tunaweza kukibadikisha, are we doomed?
Mwenzako aliifanyia reformation 1977 akakaa miaka saba-nane akaondoka, leo hii miaka 39 baadae unakuja kumlaumu kweli?
Waliopo hai, yeye alifanya yake wakati wake.Kulaumu tu haisaidii mabadiliko yanaletwa/yataletwa na nani?
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa!Nchi inatawaliwa kwa Katiba na sheria zinazotokana na Katiba. Mwalimu Nyerere, Baba wa Taifa alijua fika kuwa katiba yetu ni mbovu na akasema bayana kuwa katiba hii ni mbaya akitokea Kichaa akaitumia atakuwa DIKTETA NA ATAUMIZA WATU.
Pamoja na kuliona hilo (nampomgeza kwa hilo),bado hakuibadilisha kwa vile ilikuwa inampa yeye U-MUNGU mtu kutawala kirahisi without being challenged /facing opposing views!
Angalia sasa madikiteita wa kiume na kike wanavyoitumia kuua, kuteka, kupoteza , kuminya demokrasia ya watanganyika!
A GOVERNMENT IS AN INSTRUMENT OF OPPRESSION, AS LONG AS HE HEADED THE INSTRUMENT OF OPPRESSION, SIWEZI KUMUENZI!
Ukiacha hilo hapo juu, kwa mengine alikuwa mfano bora eg, kutokuwa Mwizi. UAMINIFU
Ndiyo hapo ninapo papenda kwamba hatuwezi kuleta mabadilko hadi hapo mafuvu kwenye jamii zetu za kiafrica yatakapo rudishiwa akili, na akili haziwezi kurudi hivi hivi hadi jamii ipate changamoto mbalimbali, (uncertainties),Utashi utaufanya mbele ya madikiteita?
Atafufuka 🤭Kwani ukimwombea huko kaburini ndo mifupa yake inakuwaje?
Kwa vile imemuondoa kwenye "wizi/ulaji"Gachagua: Katiba yetu Ndio mbovu kabisa Africa Mashariki
😂😂😂
changamoto za kuwindwa na akina "Mafwele" as per SATIVA, huwezi kuzilinganisha na natural disasters which can be confronted by scientific and physical means! UMKHONTO WESIZWE???? why go that way?Ndiyo hapo ninapo papenda kwamba hatuwezi kuleta mabadilko hadi hapo mafuvu kwenye jamii zetu za kiafrica yatakapo rudishiwa akili, na akili haziwezi kurudi hivi hivi hadi jamii ipate changamoto mbalimbali, (uncertainties),
Changoto husababishwa na majanga ya asili, taarifa, (information and media), na binadamu mwenye akili na asiye nazo, (normal and smart people)
We usipomuenzi sisi tutamuenzi. Wakati huo babu yako alikuwa wapi we unakuja kuleta ujanja pori sahizi. Kama babu yako jinsi ambavyo hakuwa na issue kipindi hicho ni kama wewe sasa hivi.Nchi inatawaliwa kwa Katiba na sheria zinazotokana na Katiba. Mwalimu Nyerere, Baba wa Taifa alijua fika kuwa katiba yetu ni mbovu na akasema bayana kuwa katiba hii ni mbaya akitokea Kichaa akaitumia atakuwa DIKTETA NA ATAUMIZA WATU.
Pamoja na kuliona hilo (nampomgeza kwa hilo),bado hakuibadilisha kwa vile ilikuwa inampa yeye U-MUNGU mtu kutawala kirahisi without being challenged /facing opposing views!
Angalia sasa madikiteita wa kiume na kike wanavyoitumia kuua, kuteka, kupoteza , kuminya demokrasia ya watanganyika!
A GOVERNMENT IS AN INSTRUMENT OF OPPRESSION, AS LONG AS HE HEADED THE INSTRUMENT OF OPPRESSION, SIWEZI KUMUENZI!
Ukiacha hilo hapo juu, kwa mengine alikuwa mfano bora eg, kutokuwa Mwizi. UAMINIFU
Kumbe Mzee alikuwa anapiga vyombo, nami hapa nilipo nina mzinga wangu wa Havana Club na kitimoto nikidumisha mila na desturi.Nakufananisha na msafiri ambaye anapita nyikani Toka mwanzo WA safari mpaka anafika hajageuka nyuma.View attachment 3123364
Nakubaliana na wewe, huyu ndiyo alituharibia nchi yetu kwa hii katiba mbovu pamoja na muungano fake wa ZanzibarNchi inatawaliwa kwa Katiba na sheria zinazotokana na Katiba. Mwalimu Nyerere, Baba wa Taifa alijua fika kuwa katiba yetu ni mbovu na akasema bayana kuwa katiba hii ni mbaya akitokea Kichaa akaitumia atakuwa DIKTETA NA ATAUMIZA WATU.
Pamoja na kuliona hilo (nampomgeza kwa hilo),bado hakuibadilisha kwa vile ilikuwa inampa yeye U-MUNGU mtu kutawala kirahisi without being challenged /facing opposing views!
Angalia sasa madikiteita wa kiume na kike wanavyoitumia kuua, kuteka, kupoteza , kuminya demokrasia ya watanganyika!
A GOVERNMENT IS AN INSTRUMENT OF OPPRESSION, AS LONG AS HE HEADED THE INSTRUMENT OF OPPRESSION, SIWEZI KUMUENZI!
Ukiacha hilo hapo juu, kwa mengine alikuwa mfano bora eg, kutokuwa Mwizi. UAMINIFU
Sure ni katiba ya hovyo kuliko hata hovyo yenyeweGachagua: Katiba yetu Ndio mbovu kabisa Africa Mashariki
😂😂😂
Ulinisomesha hadi uniandikie kingereza?soma uelewe, usikurupuke!
Use the following faculties to make sense out of mixtures
1. Imagination
2. Perception
3. Will
4. Memory
5. Intuition
6. Reason
Wewe ni Yombo Manumbu?🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂.Ulinisomesha hadi uniandikie kingereza?